PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
HAPA hakuna raisi aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nimeelewa hivyo. Kwa kweli nimeshtuka, kwa mkuu kutamka hayo maneno.Ufisadi umehalalishwa
KabisaHAPA hakuna raisi aisee
Acha kuweka tafsiri yako mzee, sote tunajua kiswahili na maneno yake yako wazi kabisa. uzuri ni kuwa video zipo. mama amehalalisha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ila asivimbiwe ingawa hakuweka kipimo cha kuvimbiwa!Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......
Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....
Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......
Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......
#Siempre JMT🙏
Yupi alikuwa na vission. Labda jk!!!Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Jk????? HuyuhuyuYupi alikuwa na vission. Labda jk!!!
AiseeNimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?
Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya
View attachment 2079590
Natanguliza shukurani
Hapana amemaanisha kila mtu ale eneo lake adiingilie eneo la mwenzie, kwa namna hii tutegemee nini sijuiKwamba aliyeko madini ale zaidi ya aliye mambo ya ndani
Bado siamini nilichosikia
Hapana amemaanisha kila mtu ale eneo lake adiingilie eneo la mwenzie, kwa namna hii tutegemee nini sijui
Ni kucheka tu maana hata ukinuna haitasaidia, mama kashasemaHa ha ha ha….nacheka kama mazuri
Ni kauli za kijanga sana na sijawahi kufikiri upumbafu kama huu??? Kwa hiyo amehararisha watu wapige wanavyotaka? Bogus kabisaHuyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.