Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......

Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....

Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......

Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......

#Siempre JMT🙏

Acha uchawa wako , hiyo clip iko very clear hiyo tafsiri yako ni ya kichachawa! Samia anawaambia waende kula lakini wasivimbiwe , sasa huko sio kuhalalisha upigaji?
Hawa watu wake nao wanafuata nyendo za yeye mama, anapowateua wakina RIDHWANI kutokana na ukaribu wake na baba yake na kuwaacha wenye uwezo kuliko yeye anadhani hao mawaziri nao hawawezi kufanya hivyo yeye anavyofanya? Kiongozi anatakiwa aoneshe mfano.

Magufuli alipiga marufuku watendaji kufanya safari za nje kiholela na yeye akaonesha Mfano wa kutokuwa mzururaji!! Kikwete alikuwa mtu wa kwenda kubembea na watendaji wake nao wakawa wanapishana Airport nao wakifuata nyayo zake!!! Utakalofanya wewe Samia ndio wafuasi Wako watafanya pia!! Badala ya kupiga mayowe unatakiwa uongoze kwa kuonesha Mfano. Unatakiwa uwe RAIS wa vitendo na Maneno machache! " UKUBWA WA PUA SIO WINGI WA MAKAMASI."
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani


Karuhusu mawaziri wale kulingana na urefu wa kamba zao/uwezo na nafasi zao.---- hiyo ni kauli mbaya sana kama Rais. 😨 pathetic.
 
Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwenye serikali yake kupitia TV ya Taifa!😁😁😁

Anawaambia wajipimie😁😁😁
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani
Hivi nacho kisikia toka kwa Mheshimiwa Rais wetu nasikia sawasawa au sijamsikia Rais vizuri? Anasema anajua kuwa watu wanakula ktk maeneo yao, ila wamezidisha mpaka wanavimbiwa. Hivi hawa hawalipwi mishahara na Serikali kwahiyo inabidi wale kutokana na upana wa sector zao ila wasivimbiwe. Mheshimiwa Rais ana maana gani?

Kwa kweli sijamuelewa kabisaa Mheshimiwa Rais wetu...Naomnba msaada wa maana ya kauli hii ya Rais.
 
Nimeshaelewa!😁😁😁
16402654753460.jpg
 
Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......

Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....

Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......

Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......

#Siempre JMT🙏
🤡🤡🤡
 
CCM ni ile ile ooo ni ile ileeee .kauli ya hovyo kutolewa na kiongozi wa nchi tangu uhuru. Huyu bi kidude anajificha kwenye hasira zetu ila ni wa hovyo kuliko hata awamu ya nne . KUmbe huko wanakula nchi huku wanatubambika Ma tozo .unajua siamini kama ndo Huyu wa awamu ya tano
Bila kuongea hivyo ungejua kuwa watu wanavimbiwa? Vipi huko awamu ya 5 walikuwa hawali? 😃😃😃😃
 
Acha uchawa wako , hiyo clip iko very clear hiyo tafsisri yako ni ya kichachawa! Samia anawaambia waende kula lakini wasivimbiwe , sasa huko sio kuhalalisha upigaji?
Hawa watu wake nao wanafuata nyendo za yeye mama, anapowateua wakina RIDHWANI kutokana na ukaribu wake na baba yake na kuwaacha wenye uwezo kuliko yeye anadhani hao mawaziri nao hawawezi kufanya hivyo yeye anavyofanya? Kiongozi anatakiwa aoneshe mfano.

Magufuli alipiga marufuku watendaji kufanya safari za nje kiholela na yeye akaonesha Mfano wa kutokuwa mzururaji!! Kikwete alikuwa mtu wa kwenda kubembea na watendaji wake nao wakawa wanapishana Airport nao wakifuata nyayo zake!!! Utakalofanya wewe Samia ndio wafuasi Wako watafanya pia!! Badala ya kupiga mayowe unatakiwa uongoze kwa kuonesha Mfano. Unatakiwa uwe RAIS wa vitendo na Maneno machache! " UKUBWA WA PUA SIO WINGI WA MAKAMASI."
Nani kasema kuwa waende kula? Acha kupotosha,na kama ni kula,waende kula nini?

Kama kuna huo ulaji na wewe jiunge ule.
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Umeliwa peke yako.
 
Halafu anavyoung‘ang‘ania na kuupenda huo Uraisi sasa, Makamu wa Raisi hatumsikii kabisa, yeye alipokuwa Makamu alikuwa anapewa nafasi angalau hata ya kuonekana na kusikika kila mahali, labda
 
Karuhusu mawaziri wale kulingana na urefu wa kamba zao/uwezo na nafasi zao.---- hiyo ni kauli mbaya sana kama Rais. 😨 pathetic.
Halafu amesisitiza kuwa wajipimie kiasi cha kushiba ila mradi wasivimbiwe😁😁😁
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Kwanza ukisikiliza hiyo Crip ina shida gani? Mbona Rais anawaasa mawaziri kuacha wizi? Tena anawaambia waache urafi na katoa mifano .

Lakini ni ukweli pia kwamba kila mtu anakula alipo ila ulaji usiwe wa uharibifu.
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani
Mungu huyu mwache aitwe Mungu. Kuleni kwa urefu wa kamba au kukeni kwa kukata kamba Mungu atawafurahisha. Yani dhiki na umasikini unavyolitssa hili taifa kweli... Mzee Mangula na wazee wa ccm mnaona?
 
Back
Top Bottom