Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Tumuombe Mungu tusirudi kule tulikotoka nampigia Simu mkuu ataamuru niachiwe,Nakwenda kwa Baba atakupatia Akira au connection,cement ya kujengea daraja MFUKO mmoja laki mbili,watoto wa wakuu kutibiwa na kusoma nje ya nchi wanapata Elimu kwa kizungu na kuwafanya wafikirie mambo kwa kizungu.
Upendeleo,ubaguzi,ufisafi na udhalimu vishindwe kwa uwezo wa Mungu.
Unajichosha bure, hakuna Mungu mwenye mawazo ya kijinga kama yako na Mungu sio John
 
kilichobaki ni kumlilia muumba wa mbingu na nchi atufanyie wepesi…
Mungu huwa halipi maombi bali hulipa jitihada.

Kupiga maombi wakati hakuna mipango pamoja na vitendo(Actions) madhubuti kutoka kwa wananchi vya kupambana na CCM ambao kwa miaka sitini ya uhuru wameshindwa kulisaidia Taifa hili haitasaidia.

Ni sawa na mwanafunzi ambae anasali kwa bidii huku hasomi kabisa.Hatafaulu.
 
Nimesikiliza mara kadhaa alichosema siamini nilichosikia! Ule ni uhamasishaji wa rushwa wa kutisha! Kwamba wale kidogo wasivimbiwe! Mbele ya National Television!

CCM haipiti miaka miwili mtapita magumu kiutawala ambayo hamjawahi kupitia toka chama hiki kianzishwe! Tunajua awamu zote kuna wizi/ufisadi ila si kwa kiongozi mkuu kutamka maneno ya namna hii. Shame!
Maza ameonyesha kuwa hayuko serious na ulaji wala kwake haoni kuwa ni tatizo kubwa. Kwa mawazo yake ni kuwa watu wanaweza kula kiasi bila kuathiri chochote. I am very disappointed with her .....!!
 
Maza ameonyesha kuwa hayuko serious na ulaji wala kwake haoni kuwa ni tatizo kubwa. Kwa mawazo yake ni kuwa watu wanaweza kula kiasi bila kuathiri chochote. I am very disappointed with her .....!!
Lakini kuna kaukweli, hasa ukiangalia jinsi alivyoliweka.

Alisema kuna viongozi wanagongana kwenye miradi yenye pesa kuchukua percent hata kabla mradi haujaanza kutekelezwa.

Wakichukua wanasaidia kuchochea mzunguko wa fedha. Lazima watajenga(kununua vifaa na kulipa mafundi), watakula(kununua mahitaji), watasaidia ndugu hapa na pale, nk.

Tusiwe na chuki sana. Muhimu na sisi wananchi tujiongeze tuwatumie hawa vigogo angalau wakipita waache kiasi cha fedha kwenye miradi yetu.

Umaskini wa mtu hausababishwi na kukosa pesa peke yake bali kwa kukosa mfumo wa kuacha pesa mfukoni mwake. Pia, utajiri siyo kuingiza pesa peke yake, bali kuwa na mfumo wa kuhakikisha hela zinazoingia zinaongezeka na zinabaki upande wako.

Karibuni kunipinga.
 
Wewe msenge nimekwambia leta list hapa achana na msenge wako! Huma hata ushahidi unapuyanga tu! Pumbavu zako! Hao umewataja wote ni marehemu? Hao madiwani wakiuliwa kwa matendo yao unamsingizia Magufuli? Hata huyo Azori Gwanda unaushahidi gani?
Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu sawa na UPUMBAVU wake usije kuwa sawa naye.

Nikupe wewe ushahidi kwani wewe ni Mahakama? JUHA mkubwa mwenye jicho moja
 
Hivi kufa ni ajabu? Huyo Lisu unajua maumivu wanayopitia? Bado atakuwa na maumivu mpaka kufa na bado ataoza vile vile! Wapumbavu ndo hufikiri kuishi ni faida! Hujui kuwa kufa ni faida zaidi!!?
Mwambieni huyo mzoga wenu anayeoza Chato, alipokuwa anaamuru Lissu auawe yeye alidhani ataishi milele.

Ndiyo kisa aliiba kura zote za Oktoba 2020
 
Back
Top Bottom