Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Kwa sasa hivi SSH ana- 'grapple' na 'government coordination'.. Wengi wa Mawaziri wake wanakosa ubunifu hivyo kufanya 'vision' za SSH kutekelezwa kwa mwendo wa kobe au ndivyo sivyo..
Hapa ndipo ilipotakiwa 'robust opposition' kuwaamsha..
Pia asisahau bado mawazo ya baadhi ya Mawaziri wake yapo katika uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo bado atapambana nao sana..

“Robust opposition” is a dead concept in Tz. Vyombo vya dola vyote vimeandaliwa kuangamiza upinzani katika namna zake zote. Legacy of 2019 & 2020.
 
Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......

Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....

Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......

Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......

#Siempre JMT🙏
Vipi unabaki kuwa Mdudu nyuki wa mama, au unakua Mbuzi ama kupe .
Mlivyokosa akili, kila kukicha MaCCM mnajifananisha na MAHAYAWANI.
 
Huyo mwenye vision nan???yule Iblis jiwe au mwingne????
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
 
Mods rudisheni ile clip hapa....watu wametumia bando lao kuipandisha alafu mnaifuta, bure kabisa nyie! Uhuru wa kutoa maoni na kupata habari huko wapi sasa??!
cc: binbaraghash msaada wako mkuu....nitumie hata pm ile clip ya mawaziri kula kwa kwa urefu wa kamba zao hadi wakavimbiwa!
 
Viongozi watakula Sana sisi wananchi tujiandae kupunjwa..
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Tatizo katiba. Na CCM

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Kamle kichwa mama yako fala wewe, unamtisha nani kenge mkubwa wewe.
Eeeeh! Ila mental health ni muhimu Sana kufundishwa kwenye jamii! Muone huyu mtu@lost . Panic disorder kafundwe mkoleni we dada
 
Mods rudisheni ile clip hapa....watu wametumia bando lao kuipandisha alafu mnaifuta, bure kabisa nyie! Uhuru wa kutoa maoni na kupata habari huko wapi sasa??!
cc: binbaraghash msaada wako mkuu....nitumie hata pm ile clip ya mawaziri kula kwa kwa urefu wa kamba zao hadi wakavimbiwa!
 
Pale Taifa linapokuwa fucked up!🤡🤡🤡

Imagine hapo mawaziri wana-take notice kabisa kumbe wanaandika mambo ya kipumbavu ya 'kujipimia' katika diary zao🤡🤡🤡
 
Naona masisiemu yako chimbo saizi yanaumiza vichwa jinsi yatakavyo clean nanihii.
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani
HiLI Limama ni li kichaa kabisa, unahalalisha rushwa kweli,Daa itachukua muda kumpata Magufuli mwingine watu wakipinga matendo yake inakuwa sukumagang
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

Natanguliza shukurani
 
Prof. Asadi huwezi kusikia akisema lolote maana aliyepo ni mwenzetu katika imani
 
Back
Top Bottom