Rais Samia kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa

Rais Samia kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
Rais Mama Samia Suluhu ametangaza atakutana na kuzungumza na vyama vya Upinzani chini.

katika kujenga muktadha wa demokrasia nchini.

Tukumbuke kuwa mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe katika waraka wake kwa Rais Samia alimuomba kama itampendeza aitishe mkutano na viongozi wa vyama vya siasa ili wajadili siasa za nchi na kuanza ukurasa mpya.

Ombi hili limekubalika..

Ramadhan Kareem!
 
Tukumbuke kuwa mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe katika waraka wake kwa Rais Samia alimuomba kama itampendeza aitishe mkutano na viongozi wa vyama vya siasa ili wajadili siasa za nchi na kuanza ukurasa mpya.

Ombi hili limekubalika..

Ramadhan Kareem!
Kwani ulikuwa hujui mikutano hii
1619102110685.png

1619102164902.png

1619102215383.png

1619102281774.png

1619102429883.png


Hata mzee wa ubwaba alipata nafasi ya kukutana na rais
 
Back
Top Bottom