Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wew kondoo kaa kimya!siyo watanuna bali wamenuna , na uzuri ni kwamba nitakuwepo na nitapewa muda wa kuzungumza , nimepigiwa simu dk 3 tu zilizopita , nasema hivi nitafunguka kila kitu , subirini , hii nchi ni yetu sote .
umeangalia haraka mbona iko sawaEdit kidogo mkuu, isomeke ‘kuua’ badala ya ‘kua’!
Samia ni chadema?Hapo CCM watanuna.
Sio MATHA bali sema MACHA. Make Chagga Happy Again.Huu ni wakati wa MATHA= Make Tanzania Happy Again.
Rasmi tumezika MATAGA. Sijui wanapumulia wapi muda huu.
Mungu ametuletea mkombozi.
Hii ndiyo Awamu ya 6 yenye kuheshimisha Tanzania tena mbele ya Watanzania na dunia nzima.
Wooooooooo hiloooooo! Hapo ni kulizomea MATAGA lililonuna baada ya kusikia mama ataongea na vyama vya siasa!Ni mbinu ya kupata fedha za 'mabeberu' tu, wala haitoki moyoni.
Mbowe hakuna cha ajabu alichoifanyia siasa ya Tanzania. Akina maalim seif, Christopher mtikila , NK. Mbowe ni mroho wa Madaraka na angepata nafasi ya uongozi ni jambaxi mkubwa SanaMbowe ni Mwamba wa siasa za Tanzania, nani mwenye akili timamu ambaye hatapenda kumsikiliza, Madam President kafanya jambo la msingi sana, Mungu azidi kumpa hekima.
Unateseka ukiwa wapi?Ni mbinu ya kupata fedha za 'mabeberu' tu, wala haitoki moyoni.
Mataga, sukuama gang, chawa, na wengine wote hasa chakubanga watakuwa wamenuna sana leo.Rais Mama Samia Suluhu ametangaza atakutana na kuzungumza na vyama vya Upinzani chini.
katika kujenga muktadha wa demokrasia nchini.
Ndiyo hapo ujue kuwa adui mkubwa wa nchi hii ni baadhi ya wana ccm hasa uvccm.Hapo CCM watanuna.
Legacy ipo kijijini kwaoHii sio Legance ya mwendazake.
Matako ya mamakoSio MATHA bali sema MACHA. Make Chagga Happy Again.
Mbona unaandika kwa unyonge sana?Kazi inaendelea..
SSH oyeeeee....
Rais Mama Samia Suluhu ametangaza atakutana na kuzungumza na vyama vya Upinzani chini.
katika kujenga muktadha wa demokrasia nchini.
Hayati Vipi?Rais Mama Samia Suluhu ametangaza atakutana na kuzungumza na vyama vya Upinzani chini.
katika kujenga muktadha wa demokrasia nchini.
Watu wa CCM wakiisoma hii watanuna😄Hii nimeipenda. Mama yuko vizuri na ni msikilizaji. Mbowe alisema wamemuandikia barua na mama kathibitisha kaipokea. Nadhani sasa wapinzani wataanza kuishi vizuri kwenye nchi yao. Nimependa ile statement ya mama kuwa wote sisi nchi ni yetu. kumbe nchi siyo ya watu fulani!!!!
Watanuna au walinuna! Ulisikia vigelegele vilipungua sana, na hasa alipoongelea suala la demokrasia. Miaka mitano na miezi 5 ya utawala wa Jiwe hawakuwahi kusikia hayo.Hapo CCM watanuna.
MaTAGA![]()
Nasikia akikutana nao Lisu atarudishiwa ushindi wake na ccm wote wanapigwa jela!MaTAGA![]()
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.Rais Mama Samia Suluhu ametangaza atakutana na kuzungumza na vyama vya Upinzani chini.
katika kujenga muktadha wa demokrasia nchini.