ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Zinakuongezea pesa mfukoni ama ndio njaa tupuMadam President anazidi kukusanya point muhimu, kama ni ngumi hapo kampiga mtu za uso.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinakuongezea pesa mfukoni ama ndio njaa tupuMadam President anazidi kukusanya point muhimu, kama ni ngumi hapo kampiga mtu za uso.
Huyu gaidi saiv analiwa na wadudu taratibu wala hafurukutiKwani ulikuwa hujui mikutano hii
View attachment 1760571
View attachment 1760573
View attachment 1760574
View attachment 1760577
View attachment 1760580
Babu yako yuko wapi sasa hivi? Je kuna ratiba ya kutangulia? Akiba ya maneno inaweza kukusaidia kwani wewe mwenyewe hujui ratiba yako.Huyu gaidi saiv analiwa na wadudu taratibu wala hafurukuti
Ngoja ifike 2025 muone kichapo mtakachopewa ni bora mdili na adui asiyejifichasiyo watanuna bali wamenuna , na uzuri ni kwamba nitakuwepo na nitapewa muda wa kuzungumza , nimepigiwa simu dk 3 tu zilizopita , nasema hivi nitafunguka kila kitu , subirini , hii nchi ni yetu sote .
Kufa sio tatizo hata nikifa leo.Babu yako yuko wapi sasa hivi? Je kuna ratiba ya kutangulia? Akiba ya maneno inaweza kukusaidia kwani wewe mwenyewe hujui ratiba yako.
Sawa tumeona. Kwa hiyo hii ya SSH haina jipya?Kwani ulikuwa hujui mikutano hii
View attachment 1760571
View attachment 1760573
View attachment 1760574
View attachment 1760577
View attachment 1760580
Msiwe na matarajio makubwa sana kwani huyu mama hatabirikiHuu ni wakati wa MATHA= Make Tanzania Happy Again.
Rasmi tumezika MATAGA. Sijui wanapumulia wapi muda huu.
Mungu ametuletea mkombozi.
Hii ndiyo Awamu ya 6 yenye kuheshimisha Tanzania tena mbele ya Watanzania na dunia nzima.
Lakini siyo kama ile yenu ya kipumbavu mliyokuwa mnafanya,angalau huyu anaonyesha ukomavu na utimamu wa akili!! Nyie mlikuwa kama tu mataahira.Kazi inaendelea..
SSH oyeeeee....
Umeandika uduvi gani hapo? Hebu soma halafu jitukane mwenyeweTutaelewana tu mdogo mdogo. Ile mikutano ya hadhara ya kitapeli ya wanasisa wa upinzani kila itwayo leo haina nafasi. Itasubiri kipindi cha uchaguzi husika. Zilongwa tumesikia ni mulemule viwango vya mwendazake tusubiri utendaji tu. Uko ule msemo maarafu Uzàramoni wa zilongwa zitendwa....!
Tuseme nini tena? Heshima , Ukuu, Sifa na Utukufu twa mrudishia Mwenyezi Mungu wa Mbinguni.
Umehamia huku [emoji23][emoji23]Kazi inaendelea..
SSH oyeeeee....
Safi sana Mkuu.siyo watanuna bali wamenuna , na uzuri ni kwamba nitakuwepo na nitapewa muda wa kuzungumza , nimepigiwa simu dk 3 tu zilizopita , nasema hivi nitafunguka kila kitu , subirini , hii nchi ni yetu sote .
Matokeo ya mazungumzo hayo ilikuwa nn Kama Sio bure kabisaWakati wa Uongozi wake, Hayati JPM alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi kadhaa wa upinzani Kama marehemu Maalim Seif, James Mbatia, John Cheyo na Mh Mrema. tunaweza sema chama ambacho hakukutana nacho ni CDM kwa sababu ya tabia yao ya kupinga kila kitu
Hapa unaona nini?Mataga anachungulia!!!! Hivi mataga ndiyo nani?
Sawa tumeona. Kwa hiyo hii ya SSH haina jipya?
Wee umo moyoni mwake?Ni mbinu ya kupata fedha za 'mabeberu' tu, wala haitoki moyoni.