Rais Samia kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa

Rais Samia kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa

legacy ya mwendazake lazima ivunjwe kwa masilahi mapana ya mama Tanzania

JPM amefariki. Mbona mnateseka sana. Sasa yeye na yanayoendelea yanamuhsuu Nini. Mifuko ya barabara nk Ni utendaji Wake ule ingawa marais walikuwa wengine. Au wakiomgea wakina Mwinyi nk hamsikilizi. Amemaliza Kazi yake. Tumwache Mama yetu atuongoze. So unamwonea wivu hata marehemu. Kweli JPM kawaweza.
 
JPM amefariki. Mbona mnateseka sana. Sasa yeye na yanayoendelea yanamuhsuu Nini. Mifuko ya barabara nk Ni utendaji Wake ule ingawa marais walikuwa wengine. Au wakiomgea wakina Mwinyi nk hamsikilizi. Amemaliza Kazi yake. Tumwache Mama yetu atuongoze. So unamwonea wivu hata marehemu. Kweli JPM kawaweza.
haituhusu we ndo unaye teseka.we kubali amekufa bac mengine yanaendelea
 
Atakutana na Mbatia, Lipumba, Mrema, Zitto, Cheyo na Dovuta. Nimesahau, na yule wa ubwabwa.
Maana hawa ni CCM- B
 
Watu wa CCM wakiisoma hii watanuna😄
Wanune tu. Kwanza sample yao ni hao wanaodemka bungeni. Hebu tuone kama mama atatupeleka kuwa serious na serious isues. Tuone kama wataacha kudemka. Tatizo moja naliona hawa watu waliopo mjengoni qualifications ni kusoma na kuandika. Tunategemea wataacha kudemka? Hii ndiyo kazi pekee wanayoiweza!!! kuanalyse issue au kupanga mikakati wanaweza? Kuisimamia serikali kweli wanaweza? Wanahoji taarifa za CAG? Hivi wanadhani CAG kapika hizo taarifa? Apike kwa manufaa ya nani?
 
Nawaapia ule 'ukoo wa shetani' utamnunia huyu Mama yetu kipenzi Raisi SHH ktk hili kwa sababu zifuatazo;
  1. Wamezoea 'kuishi ktk damu' ( mama yetu ni mtu wa dini na hapendi haya kabisa yasije kumfungia pepo)
  2. Wamezoea wizi, ujambazi, dhuluma na unyanyasaji ( Mama yetu SHH ni mtu wa Allah na Allah hataki hayo)
  3. Wamezoea kuishi ktk mafarakano (kwa kuwa ni wa ukoo wa shetani) wakumbuke kuwa mama yetu SHH ni wa ukoo wa Allah
 
Kuna Wana ccm wenzangu utasikia kukutana na wapinzani Rais hili lilikuwa kwenye ilani ya CCM mda mrefu.😊
 
SSH siyo SHH
Nawaapia ule 'ukoo wa shetani' utamnunia huyu Mama yetu kipenzi Raisi SHH ktk hili kwa sababu zifuatazo;
  1. Wamezoea 'kuishi ktk damu' ( mama yetu ni mtu wa dini na hapendi haya kabisa yasije kumfungia pepo)
  2. Wamezoea wizi, ujambazi, dhuluma na unyanyasaji ( Mama yetu SHH ni mtu wa Allah na Allah hataki hayo)
  3. Wamezoea kuishi ktk mafarakano (kwa kuwa ni wa ukoo wa shetani) wakumbuke kuwa mama yetu SHH ni wa ukoo wa Allah
 
Zinakuongezea pesa mfukoni ama ndio njaa tupu
Hunijui, sikujui, njaa yangu au pesa zangu zinakuhusu nini wewe, hangaika na maisha yako mkuu, mambo ya mtandaoni sio ya kuvalia kibwaya, utakufa kwa shinikizo la moyo.
 
Hatua hii ni kete nyingine inayomuweka Mama na mwendazake katika utofauti wa Mbingu na Dunia! Mzee kafuta miaka yote mitano hakuwahi kufanya kitu kama hiki pamoja na kuombwa hadi na viongozi wa dini! Mama aa mwezi mmoja tu madarakai tayari kauona umuhimu wa jambo hili! tuzidi kumuombea hekima na ulinzi wa Mungu akaendelee kusimama katika mstari wa haki na kutenda yampasayo kutenda!
 
Hunijui, sikujui, njaa yangu au pesa zangu zinakuhusu nini wewe, hangaika na maisha yako mkuu, mambo ya mtandaoni sio ya kuvalia kibwaya, utakufa kwa shinikizo la moyo.
Povu la kithe.nge....
njaa tupu!! kutwa kelele mitandaoni jipeni shughuli za kufanya kima nyie kumbaf..
we ndio utatangulia kubinuka kwa kiharusi
 
MaTAGA
giphy.gif
Hahahaaa..... JF raha sana.
 
Hatua hii ni kete nyingine inayomuweka Mama na mwendazake katika utofauti wa Mbingu na Dunia! Mzee kafuta miaka yote mitano hakuwahi kufanya kitu kama hiki pamoja na kuombwa hadi na viongozi wa dini! Mama aa mwezi mmoja tu madarakai tayari kauona umuhimu wa jambo hili! tuzidi kumuombea hekima na ulinzi wa Mungu akaendelee kusimama katika mstari wa haki na kutenda yampasayo kutenda!
Reserve your optimism. It is too early to judge. Don't forget the possible resistance from some of the CCM die-hard.
 
Reserve your optimism. It is too early to judge. Don't forget the possible resistance from some of the CCM die-hard.
Yes! Thats why i have spoken my comment in connection with GOD , Because i know in presense of GOD nobody can stop the good willing of our Madam President!
 
Back
Top Bottom