babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Unamuita nani Chogo we kima?Wazanzibari asili huwezi kuwaita wamanga. Machogo mna ubaguzi sana.
Hata manara anajua kiarabuSalaam Wakuu
Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili).
Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha.
Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa anazungumza na Ujumbe Maalum kutoka kwa Sultan wa Oman ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Badr Hamad Hamood Al Busaidi ndo nimegundua. Ila kucheka anacheka kiswahili.
Huo Ujumbe ulifika leo Ikulu ya Tunguu Zanzibar.
Freeman Mbowe leo wakati anahutubia baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA), kasema Rais Samia ni Mtu Poa, akamaliza kwa kusema Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.
Msihusishe hii taarifa na Ngorongoro.
View attachment 2143587
Kwa waarabu waislamu kila mtu ni Abdi, even themselves, no one is excluded. Hata Mtume wao ni Mtumwa (Abd).Oman wewe mtu mweusi wanakuita abdi, maana yake mtumwa, ila wewe nigga unamuita Mwarabu ndugu yako ?
Hiyo ni unrequited love!
. In 1832[6] or 1840,[7] Omani ruler Said bin Sultan moved his court from Muscat to Stone Town on the island of Unguja (that is, Zanzibar Island). He established a ruling Arab elite and encouraged the development of clove plantations, using the island's slave labour.Lini hayo mambo yalitokea?
Ni waarabu wanakula mema ya nchi yaoMwinyi amekuwa Rais hivi karibuni. Na ni kweli chini ya utawala wake ndio tukaanza kusikia waarabu wanapewa maeneo ya kuwindia. Na taarifa za mtaani ni kuwa uwindaji wao ni wa kiharibifu sana.
Amandla...
Neno abdi ,sio mtumwa,maana ni mja,wapo waarabu wanaitwa Abdi,wapo Abdallah,Abuod,Abeid,Abdul,Abdilah,yote ina maana ya mja(mtu).Acha kupotosha.Halafu katika muundo wa lugha ya kiarabu,majina hayatafisriwi.Hata mtume Muhammad,ambaye ni Muarabu,baba ake akiitwa Abdillah na babu Abdulmutwalib.
Usiwe unadanganywa ,kwenye vijiwe vya Pombe,ukadanganyika.
Hata asiponiona ni ndugu yake, hainisaidii wala hainipunguzii kitu.Kwa hiyo na wewe unamaamini kabisa kwamba Mwarabu wa Emirat anakuona wewe ndugu yake ?
Hajuwi, alikuwa ananukuu dua tu toka kwenye kitabu. Usikute hata wewe mwenyewe hujuwi kiarab ila umenukuu tu haya za kiarab toka kwenye vitabuSalaam Wakuu
Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili).
Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha.
Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa anazungumza na Ujumbe Maalum kutoka kwa Sultan wa Oman ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Badr Hamad Hamood Al Busaidi ndo nimegundua. Ila kucheka anacheka kiswahili.
Huo Ujumbe ulifika leo Ikulu ya Tunguu Zanzibar.
Freeman Mbowe leo wakati anahutubia baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA), kasema Rais Samia ni Mtu Poa, akamaliza kwa kusema Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.
Msihusishe hii taarifa na Ngorongoro.
View attachment 2143587
Hata asiponiona ni ndugu yake, hainisaidii wala hainipunguzii kitu.
Hata asiponiona ni ndugu yake, hainisaidii wala hainipunguzii kitu.
Labda alikua anasoma dua wewe mndengereko bwana Mbonde ukàsema kiarabu...Salaam Wakuu
Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili).
Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha.
Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa anazungumza na Ujumbe Maalum kutoka kwa Sultan wa Oman ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Badr Hamad Hamood Al Busaidi ndo nimegundua. Ila kucheka anacheka kiswahili.
Huo Ujumbe ulifika leo Ikulu ya Tunguu Zanzibar.
Freeman Mbowe leo wakati anahutubia baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA), kasema Rais Samia ni Mtu Poa, akamaliza kwa kusema Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.
Msihusishe hii taarifa na Ngorongoro.
View attachment 2143587
Hata wewe naamini unakijua kidogo,maana jinsi ulivyoandika hili jina hadi inaleta raha ' Badr Hamad Hamood Al Busaidi '...Salaam Wakuu
Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili).
Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha.
Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa anazungumza na Ujumbe Maalum kutoka kwa Sultan wa Oman ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Badr Hamad Hamood Al Busaidi ndo nimegundua. Ila kucheka anacheka kiswahili.
Huo Ujumbe ulifika leo Ikulu ya Tunguu Zanzibar.
Freeman Mbowe leo wakati anahutubia baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA), kasema Rais Samia ni Mtu Poa, akamaliza kwa kusema Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.
Msihusishe hii taarifa na Ngorongoro.
View attachment 2143587
Umeandika nini sa? Weka hiyo spitch ya kiarabu aloongea boya wewSalaam Wakuu
Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili).
Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha.
Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa anazungumza na Ujumbe Maalum kutoka kwa Sultan wa Oman ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Badr Hamad Hamood Al Busaidi ndo nimegundua. Ila kucheka anacheka kiswahili.
Huo Ujumbe ulifika leo Ikulu ya Tunguu Zanzibar.
Freeman Mbowe leo wakati anahutubia baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA), kasema Rais Samia ni Mtu Poa, akamaliza kwa kusema Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.
Msihusishe hii taarifa na Ngorongoro.
View attachment 2143587
...Teh teh teh 😂😂😂...umenivunja mbavu aisee...huyu Jamshid kwa sasa ana miaka zaidi ya 90, unaamini bado anautamani Usultani na uzee wote huo ?
...Teh teh teh 😂😂😂...umenivunja mbavu aisee...huyu Jamshid kwa sasa ana miaka zaidi ya 90, unaamini bado anautamani Usultani na uzee wote huo ?