Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaaa.........na sasa hivi hiyo shida mnatupa nyinyi......kutesa kwa zamu😆😆😆Samia yupo sana mpaka 2030, ceteris paribus.
Hii nchi wangeichukua akina Bashiru Ally au Job Ndugai kama walivyotaka kabla Mabeyo CDF hajaongilia kati, saa hizi tungekuwa na shida kubwa.
Mkuu najua Kiswahili fasaha hukuuliza bali ulisema mimi ni mpumbavu rudia kusoma post yako # 52. Umenikosea.Nimekuuliza swali. Je wewe ni mmoja wa watu ninaowaongelea?
Nimesema Watu wote wenye akili wanajua Mbwa mpumbavu ni nani.
Fumbo mfumbie mjinga mwelevu ataling'amua. Je, wewe ni kati ya watu ninaowaongelea?
Kama umeshindwa kujenga familia yako, usitegemee watu wakusaidie.Ndiyo maana ana haribu nchi yetu
Shida ni wewe tu kutoziona fursa na kuendekeza politikiHahaaa.........na sasa hivi hiyo shida mnatupa nyinyi......kutesa kwa zamu😆😆😆
Unatakiwa sasa uanze kujifunza kuswahili SanifuMkuu najua Kiswahili fasaha hukuuliza bali ulisema mimi ni mpumbavu rudia kusoma post yako # 52. Umenikosea.
AbsolutelyKama umeshindwa kujenga familia yako, usitegemee watu wakusaidie.
24/7 upo JF unategemea nani atakufanyia kazi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Sasa ulitegemea baada ya kuniita mpumbavu mimi ni kuchekee, hapana, ungeuliza ningeelewa wewe umenitukana tena bora ungesema mjinga lakini kuniita mpumbavu halafu utegemee twende sawa, hapana.Unatakiwa sasa uanze kujifunza kuswahili Sanifu
Achana na kiswahili fasaha
Ndo imetoka hiyoRais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Wapi nimekuita mpumbavu?Sasa ulitegemea baada ya kuniita mpumbavu mimi ni kuchekee, hapana, ungeuliza ningeelewa wewe umenitukana tena bora ungesema mjinga lakini kuniita mpumbavu halafu utegemee twende sawa, hapana.
Soma tena post yako # 52, una tatizo la kusahau, relax dogo.Wapi nimekuita mpumbavu?
Nimesema:-
Watu wenye akili tunajua Mbwa Mpumbavu ni nani
Je, na wewe unamjua? Kama humjui wewe siyo sehemu ya wale ninaowaongelea.
Mbona simple tu.
Upumbavu ni sifa. Je, unaikataa sifa hiyo? SIfa hiyo haikataliwi kwa maneno tuoneshe kama wewe siyo mpumbavu kwa kutoa analytical comments.Soma tena post yako # 52, una tatizo la kusahau, relax dogo.