Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaaa.........na sasa hivi hiyo shida mnatupa nyinyi......kutesa kwa zamu😆😆😆Samia yupo sana mpaka 2030, ceteris paribus.
Hii nchi wangeichukua akina Bashiru Ally au Job Ndugai kama walivyotaka kabla Mabeyo CDF hajaongilia kati, saa hizi tungekuwa na shida kubwa.