Rais Samia: Kuna mtu kakopa benki zetu 5 katoweka

Huyu mama bado kidogo tu watamzunguka na kumkopa mwenyewe!🤭🤭🤭
 
Kwanza anasema.. watu wanazunguka na anawatizama! 😂 hapo mkuu unadhani kitafanyika kitu gani?

Kuwashauri CCM ni matumizi mabaya ya muda, kwenye mabo ya ufisadi, wote wanashirikiana vizuuuri sana, ila tu wanachokifanya, watahakikisha mmoja wao anakuwa mpiga kelele kana kwamba jambo halijui, kumbe usiku wanakuwa wote

Lingine! Tanzania tutapitia shida nyingi sana kiasi cha wengine kubakia godoro za kulalwa tu wengine huku wao wakiwa na kila kitu, godoro ndo linabaki na maumivu ya wanaolilalia

Inakuweje hata watoto wa viongozi wakuu wa vyama pinzani mbakimbali wabapelekwa nje kusomeshwa na serikali?

Hao watu watakuwa na uchungu na Watanzania walala hoi kweli

Wanaroho ya kupigania wasiojiweza nchini kweli?

vyama vyote vinajuana saafi kabisa, wate lao moja!

Mmawia ndugu yangu, najua unapenda sana upinzani kama ilivyo kwa wengi, lakini, wana mambo mengi sana ya kuwatilia mashaka iwapo kweli wana udhati wa mioyo yao kuikomboa Tanzania kutoka kwenye makucha ya ccm kinacho wala wananchi

Tufanyeje sasa?
 
Sasa Rais si atoe amri wahusika waliofanya huo Utapeli washughulikiwe badala na yeye kulalamika?
 
MHUSIKA si kasaidiwa na wao haohao wakuu wa mawizarani na vyombo vya dola?
Sasa mama kulalamika badala ya kuchukua hatua inatuhusu nini sisi?
Hivi CCM mmetuona wa Tz ni mazuzu sana? endeleeni na hujuma zeni kwa wa Tz
ila ipo siku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…