raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Jamaa mpaka kuwa na uwezo wa kufanya hiyo michezo sio mtu mdg kizazi chake kilishaokoka siku nyingiJamaa kaokoa kizazi chake aseee si mchezo
#deal done# 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mpaka kuwa na uwezo wa kufanya hiyo michezo sio mtu mdg kizazi chake kilishaokoka siku nyingiJamaa kaokoa kizazi chake aseee si mchezo
#deal done# 😁😁
Ni kweli ila kumbuka kuna (wajukuu, vitukuu, vilembwe) hao ndo ninao waongelea mkuuuJamaa mpaka kuwa na uwezo wa kufanya hiyo michezo sio mtu mdg kizazi chake kilishaokoka siku nyingi
Kizazi kilishaokoka kinazidi kuokoka 😄Ni kweli ila kumbuka kuna (wajukuu, vitukuu, vilembwe) hao ndo ninao waongelea mkuuu
Mtu kabla hajazaliwa tayari ni tajiri 😁😁😁
Na ndicho nilichoeleza kwenye uzi wanguNilichokuja kugundua
Tanzania inahitaji mtu mtukutu kutuongoza km mzee baba asee
Atadumu sana tu. Mzee baba alikuwa mgonjwa kitambo na hilo lipo wazi. Na ndicho chanzo cha kifo. Mbona katawala miaka 6 mizima alibakiza miine tu?! Hujiulizi hata hilo nalo? Hii nchi inahitaji mbabe hasa kuliko hata JPMAtadumu kwan
Kweli kabisaAtadumu sana tu. Mzee baba alikuwa mgonjwa kitambo na hilo lipo wazi. Na ndicho chanzo cha kifo. Mbona katawala miaka 6 mizima alibakiza miine tu?! Hujiulizi hata hilo nalo? Hii nchi inahitaji mbabe hasa kuliko hata JPM
.........rais Samia kwa sasa anafahanu mengi kuhusu uongozi wa nchi serikali na watendaji Kwa ujumla lakini yeye ni mtu mwenye subira na mvumilivu sana..... ndo maana watu wanaona kama mambo yanaharibika au hachukui hatua, hii sio kweli huyu mama ni menda haki.......na niseme tu zinakuja siku ambazo mama atachukua hatua kali sana Kwa baadhi ya watendaji na watu hawataamini........ni swala la muda tu......
Mama anatakiwa avunje mwiko dhidi ya hao mastupid aliyoyabaishiwaMwenye kufahamu kwa ujumla hasara tuliyopata kutokana na upigaji na hatua Madame Presidaa alizochukua, hizi za yakhe waitwa Post sio wakati wake!!!
Watu wameiba na ushahidi umepata unataka wakakae nao tena, Rais Ng'ata sasa kubweka tu hakutoshi vyuma vimezoea kupiga na vimekaa pale.
Unanikumbusha ule wimbo wa hayati Mtoro Ongala unaitwa KIPENDA ROHORais mwenye akili timamu na mzalendo
Nikakwaambia amna haja ya kukaza fuvu hivyo asadi huyu huyu si alishaalitolea ufafanuzi au umerudi jana kutoka ughaibuniUkitaka kujibu hoja za mtu mzima upaswa ujitawaze kwanza hoja yangu ya msingi ni kuweka mazingira ya uwazi kwa serikali kuikubali kuwajibika baada ya kupokea ripoti ya CAG. Kifungu cha 28 cha sheria ya ukaguzi wa umma na 11.ya mwaka 2008 ndicho kinachompa mamlaka CAG kufanya yake. 1.5tr hazikujulikana zilipo licha ya polepole kuja na hesabu zake zisizoleweka. Unachopaswa kujua haya mambo hayataki double standard inapoonekana kuna leakage ya mapato yetu tuwe na maoni ya pamoja sio kutoka mapovu.
Asad alitenguliwa kwa sababu ya kutumiwa vibaya na kina Zitto wala si hayo unayoyadhani. Na pia walikjwa ba bifu Zitto na mzee Baba la miaka. Alishawahi kumuita Mjasiriamali wa siasa na wala hafai kitu. Nyakati jamaa akiwa waziri.Mzee baba mwenyewe ripoti kama hizi aliziogopa sana tu rejea kutenguliwa kwa prof Assad, watanzania tunatabia za kinafiki sana si ajap kuona tunamtukuza rais kuliko taifa lenyewe. Rais sio Mungu wala Malaika Kuna muda na wakati anaitaji msaada kisayansi, kimedani na ujuzi kuweza kukabiliana na uvujaji wa mapato ya nchi.
Sijuila kushangaza ni lipi sasa...