Rais Samia: Kuna mtu kakopa benki zetu 5 katoweka

Rais Samia: Kuna mtu kakopa benki zetu 5 katoweka

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.

“Kuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefu”

“Kuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?

Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemea”

WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?

Hotuba yake yote analalamika tu mm nahisi haelewi nguvu ya kimamlaka aliyokuwa nayo, 2025 atupishe kwakweli maana hatufai kwanza katurundikia mitozo Kila mahali, bei ya nafaka inazidi kupaa, maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu mbaya zaid watu wanatafuna pesa zetu sasa ya nn kuendelea kuwepo madarakani?
 
Watu wapo, wasimamizi wapo majaji wapo. Sasa maamuzi ni kulalamika au kuwasweka ndani wahusika?
 
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.

“Kuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefu”

“Kuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?

Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemea”

WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?

Yusuf Manji
 
Mwenye kufahamu kwa ujumla hasara tuliyopata kutokana na upigaji na hatua Madame Presidaa alizochukua, hizi za yakhe waitwa Post sio wakati wake!!!
Watu wameiba na ushahidi umepata unataka wakakae nao tena, Rais Ng'ata sasa kubweka tu hakutoshi vyuma vimezoea kupiga na vimekaa pale.
 
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.

“Kuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefu”

“Kuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?

Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemea”

WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?

Aisee..
Si achukue hatua badala ya kulalama?!
 
Kuna msemo unasema Acholile Kachora wakwere nadhani, yaan hio sadakarawe watu washacheza aliepata kapata wanajua wakishaiba mama mwenye nyumba atakuja kubwabwaja wee wanamwangalia tu akimaliza yanaingia huku yanatokea huku watu wanacheck angle zingine za kuiba walioiba hawafanywi chochote na wanajua hakuna wa kuwafanya chochote na kuiba wameiba unategemea nini? Utakuja kuimba taarabu tu pumbavu stupid basi watu kesho wanaiba tena tena mbaya wanaiba mbele ya macho yako hivi unaowaona na mkono wa pongezi hongera kwa kuiba unawapa kumbe wameiba
Yeye alitegemea hii nchi utaiendesha kwa huruma huruma za kike utaweza? Eti sitamtumbua mtu, watu wanatambaa na chaki tu. Advertise mama alianza kuwatoa wezi jela na kuwalipa hela 😀😀😀!

Sasa sahizi mchwa wamemzunguka wanatafuna bila huruma na wala hawamuwazi wala nini.
 
We kufadhili wapi pesa zinasombwa ulaya watu wana invest kwenye ma bonds, real estate, bitcoin na asset zingine kipindi cha Kikwete kuna waziri siwezi mtaja alisepa na 66B ana 5 star hotel 3 nchini Canada hivi vitu mkuuu havinaga muongozo asee

Watu wanajali vizazi vyao tu hapa
Hahahahahah sasa 66B unafikiri utakaa uwe maskini saa ngapi? Thats was almost 30M dollars! Ikienda kwenye stocks and bond Marekani wewe ni kuvuna mihela tu.
 
Hatua zipi bro kutisha au kufoka, kiini macho cha trioni moja na nusu kiliishia wapi, tatizo la Tanzania ni la kimfumo na muundo wa utawala na maamuzi, yaani top down decision making process. Watanzania wanacheza na biti ikija raggae au lukasa ya mbongo twende yaani ukiwa mkali utapigwa, ukiwa mpole utapigwa tu
Acha porojo ww ni mtu mzima aisee mbona mnakuwaga kama mazombe kama unachuki zako binafsi na mwendazaek nenda kalichape kaburi
 
Tatizo Sasa hivi Ni kwamba, atatumwa Nani akamkamate Nani?
Waziri wanajua alivyoiba
Karibu mkuu mwizi
Makamishna wezi
Wakurugenzi wezi
Takukuru imekua rukukuta
Polisi imekua polisi jazz bend
iPhone inanunulika kiulaiiini.
Hahahah haah yani hapo hakuna wa kumkamata mwenzie maana kwenye hio migao bi mkubwa taarifa anazo. Tukisema hii ni awamu ya 4B muelewe.
 
ni aibu rais kulalamika ni wazi hatambui madaraka na kazi yake ndio maana anagawa pesa ovyoovyo. Kwa utaratibu wa sasa ni vigumu mtu kukopa benki tofauti bila kujulikana kwa sababu bot wana data zote za wakopaji, anatakiwa aanze na bot kisha benki zilizohusika.
 
Hotuba yake yote analalamika tu mm nahisi haelewi nguvu ya kimamlaka aliyokuwa nayo, 2025 atupishe kwakweli maana hatufai kwanza katurundikia mitozo Kila mahali, bei ya nafaka inazidi kupaa, maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu mbaya zaid watu wanatafuna pesa zetu sasa ya nn kuendelea kuwepo madarakani?
Ndugu ukisikia mwanasheria mkuu anasema kuna sheria hazitekelezeki hilo sio jambo dogo. Mamlaka uisemayo aliyonayo rais usifikiri ndio jibu la matatizo haya. Jibu ni moja tu; kila mhimili (serikali, bunge na mahakama) uachwe ufanye kazi yake kwa uhuru wake haya yatapungua mno, ila kuacha sijui rais afukuze yule afanye hivi mwisho hata wanaofukuzwa mwishowe wanashinda kesi (kumbuka serikali iliyopita ilifukuza sana kwa matamko na wengi waliendelea kulipwa stahiki zao vilevile ila nje ya vyeo walivyotumbuliwa jambo ambalo lilikuwa la kisheria ila hasara kwa nchi)
 
Hatua zipi bro kutisha au kufoka, kiini macho cha trioni moja na nusu kiliishia wapi, tatizo la Tanzania ni la kimfumo na muundo wa utawala na maamuzi, yaani top down decision making process. Watanzania wanacheza na biti ikija raggae au lukasa ya mbongo twende yaani ukiwa mkali utapigwa, ukiwa mpole utapigwa tu
Hio Trillion moja mnayoona nyingi zile alizopiga Lameki kwenye miradi badala ya trillion 4 akalipa 6, jumlisha na mabillion wanayopiga Makamba na wenzake haya hizo za CAG alizosema TRC wamepiga 500B na za Manunuzi ya Cargo Airline 115B hebu acheni mambo ya kikuma aisee.

Hio trillion 1.5 ni ya chuki wala haina ushahidi ila mmeishikia bango. Hakuna awamu itavunja rekodi ya ufisadi kama hii hapa. Hata kikwete hawezi ingia yani
 
Acha porojo ww ni mtu mzima aisee mbona mnakuwaga kama mazombe kama unachuki zako binafsi na mwendazaek nenda kalichape kaburi
Sio chuki Rais aliepita alifoka tu hata ukitukana huwezi kubadilisha ukwel, zombie ni wewe ambae unamuhusudu mtu kuliko hata taifa lenyewe, ATCl ilipotoa gawio wote si tuliona mwisho wa siku CAG akaripoti hasara, 1.5 tri ziliposhindwa kuonekana mwisho wa siku akatumbuliwa prof Assad kuhoji kwannn Bunge limekuwa bubu, acha utoto unapojibu watu wazima.
 
Sasa kama kila muhimili ukitakiwa kufanya kazi yake huoni kwamba ni ngumu sana kukamata wezi. Raisi ana influence kubwa asana katika hilo maana jaji mkuu yuko chini yake. Mimi uniwekee billion 30 kwanini nisifute kesi haraka au kuipotezea.

Ndugu ukisikia mwanasheria mkuu anasema kuna sheria hazitekelezeki hilo sio jambo dogo. Mamlaka uisemayo aliyonayo rais usifikiri ndio jibu la matatizo haya. Jibu ni moja tu; kila mhimili (serikali, bunge na mahakama) uachwe ufanye kazi yake kwa uhuru wake haya yatapungua mno, ila kuacha sijui rais afukuze yule afanye hivi mwisho hata wanaofukuzwa mwishowe wanashinda kesi (kumbuka serikali iliyopita ilifukuza sana kwa matamko na wengi waliendelea kulipwa stahiki zao vilevile ila nje ya vyeo walivyotumbuliwa jambo ambalo lilikuwa la kisheria ila hasara kwa nchi)
Tajiri hafungwi Tanzania. Maskini tu ndio watajazana jela.
 
Mzee baba mwenyewe ripoti kama hizi aliziogopa sana tu rejea kutenguliwa kwa prof Assad, watanzania tunatabia za kinafiki sana si ajap kuona tunamtukuza rais kuliko taifa lenyewe. Rais sio Mungu wala Malaika Kuna muda na wakati anaitaji msaada kisayansi, kimedani na ujuzi kuweza kukabiliana na uvujaji wa mapato ya nchi.
Ewe lijinga na wajinga. Tena na hao wajinga wenzako nimeona kuna ma group kabisa ya wasomi eti wanasema eti mara Dkt Magufuli etc. Tulieni tuwaambie iko hivi. Prof. Asad alitumika na mabeberu na kundi la watu wabaya wale mafisadi ili kujaribu kutafuta makosa. Hiyo 1.5 trillion ilikuwa na maelekezo na yalitolewa na yeye akakomaa yaani ni sawa na budget ya CIA uende ukajifanye mara ohhh waliomtumbua ni hao hao walinzi wa taifa na ndiyo maana he will never amount to anything kwa hii nchi kwa sababu prof Asad ni mtu aliyeelimika ila hana common sense, na binaadamu ukikosa common sense hata uwe prof utaendelea kuwa mjinga.
 
Back
Top Bottom