Tulia wewe!Baada ya ziara hii tutashuhudia maiti nyingi sana kwenye viroba. Keep eyes open.
Anafungua nchi!Huyu mama nilishamtoa kichwani mwangu
[emoji23]Mother anawamix mix, upande huu wanashangilia Mbowe kukamatwa huku wanalia na chanjo, upande mwingine wanashangilia chanjo huku wanalia na Mbowe kukamatwa!! Hakika anaupiga mwingi
Eti Wapiga kura wake? lini hilo lilifanyika, yeye yupo kwa haki ya katiba, subiri 2025 ndio awe nawe kama mpiga kura. Mwache ajenge nchi kwanzaToka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Zile lugha za mama anafuta legacy ya mwendazake,mama anawakomesha mataga na sukuma gang hazipo,bora Magufuli alipambana na mapapa waliofisadi nchi kuliko huyu wa sasa anawaacha mapapa anakamua masikini kwa tozo za dhulma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha hayana hamu
Mama hatabiriki,muda wowote anaweza hata kuwachenjia CCM wenzie.Mother anawamix mix, upande huu wanashangilia Mbowe kukamatwa huku wanalia na chanjo, upande mwingine wanashangilia chanjo huku wanalia na Mbowe kukamatwa!! Hakika anaupiga mwingi
Hawa sio watu wazuri kabisaNlisikia juzi juzi kwamba huwa wanadukua simu ya rais wa South Africa
Wewe endelea na matusi yako. Mwisho wa siku mimi na wewe tunagombana mitandaoni tunawafaidisha wengine.Tulia wewe!
Mama anafungua nchi!
Anawakomesha mataga na sukuma gang
Anarudisha hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota
Anaupiga mwingi sana
Alipigiwa kura na nani, na lini?!Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Tiss watapanda hewani kuzuia isitunguliwe?.... HAO JAMAA WASIJE WAKATUNGUA NDEGE YETU HALAFU WASINGIZIE INTERAHAMWE!
TISS WATCH OUT!
ππβοΈπ₯
Ndio maana nasema mimi na wewe kuendelea kurumbana wakati wanufaika ni wengine tunapoteza energy bure. Wanachadema na wanaccm tupendane tuZile lugha za mama anafuta legacy ya mwendazake,mama anawakomesha mataga na sukuma gang hazipo,bora Magufuli alipambana na mapapa waliofisadi nchi kuliko huyu wa sasa anawaacha mapapa anakamua masikini kwa tozo za dhulma.
Expected. Ardhi ya Rwanda imelaaniwa kwa damuTutaanza kuokota watu kwenye sandarusi kule Coco Beach
Ni muda mrefu sana umeonesha chuki binafsi na kumtukana Rais wako matusi mbalimbali, una shida gani?Ukimuona punguani fulani anazurura kwenye hizi nchi masikini za Afrika mashariki kama nchi zake kuu za wahisani jua kuwa hamna Rais humo.
King'amuzi kiko MsogaVasco da Gama no. 2
Nitakujibu mama chokochoko atakaporudi nyumbani salama!Tiss watapanda hewani kuzuia isitunguliwe?