Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chura kumbe anackia!! Omba omba hana chake kila mara kiguu na njia kwenda kwao.
All the best
 
Kilichofuata kilikuwa ni bendera nusu mlingoti.
Mzee alikuwa akiishi kwa kutumia kijenereta cha moyo kilichotengenezwa na kuendeshwa kwa akili za beberu, na kila kikisumbua beberu aliitwa kukiweka sawa, kijenereta sijui kilizimwa vile watu wakarudi kati.
 
Mkuu Unaelewa maana ya neno m?a ,utamaduni na desturi!? Kuua watu mayo ni Mila ,desturi au utamaduni!?

Haya uliyoyaandika ulipaswa kujua maana yake ikiwa angalau ulikomea form two ,
halipo taifa lolote lililostaarabika na linalozingatia mila, desturi, utamaduni na sheria za kimataifa ulimwenguni, eti kupitia balozi wake lielekeze taifa husika namna ya kudeal na mambo yake ya ndani,

take it from me,
huo ni ukiukwaji wa Sheria na ustaarabu wa kimataifa na yeyote anaekwenda kinyume anastahili kufurushwa kwao mara moja...

hayo mengine nadhani nimeshayaelezea sana maeneo mengine 🐒
 
Chura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri watakujibu
Kuwa na adabu,yule ni Raisi wa Jamhuri, vilevile yule ni mama.
Asiyefundwa na wazazi wake atafunzwa na singeli.
 
Tofauti ni chombo cha Sirikali kutuhumiwa na sio suala la mtoto. Je suala la Floyd na mengine kama hayo yalifichwa au yalishughulikiwa ipasavyo. Na US
 
Hoja yake ni kwamba ni kweli walichokisema ni maagizo kutoka kwa marais wa nchi zao au wanaleta siasa? Binafsi sijaona alipokosea
 
Wewe utafia Guest house 😂
 
Chura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri

Chura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri watakujibu
Nilitegemea anakuja kukemea mauaji kumbe hapana basi hawezi kukwepa hizi lawama
 
Chura kiziwi katika ubora wake. Kesho anaendelea kwao kutembeza bakuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…