Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya mashambulizi ya kushtukiza. Hiyo ndo namna bora ya ku react pale unapohisi kuna sabotage.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.

Ni kweli Ndugai kuna moto amewasha, mama alitakiwa kuuzima kwa kukubali msamaha kidiplomasia, ila sasa mama naye kauwasha moto. Matokeo yake hapa sasa kuna limoto linawaka na linafukuta.

Nnachoona hapa soon tutasikia mayowe! Hatujui nani atapiga sasa, maana limoto linawaka
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivo ndivo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndo unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndo anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayar ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Vita ya nungunungu na chui... Hakuna mshindi... Wakisha mng'oa walio mng'oa the same will feel same pein.... Usiniulize najuwaje....
 
Mimi niko na mama. Kwanza kaniudhi hakuzungumzia wale ndezi 19 Ndugai anaowafuga pale. Unamkandya mama na mikopo yake yenye maslahi ya Taifa wakati wewe unatumia mamilioni ya mahela ya watanzania kuweka kwenye vikoba vya wabunge hewa kisa tu kukomoa upinzani

Mama kaniudhi, hakumchamba vizuri mgogo. Sijui lakini, labda kaweka kiporo incase mgogo akatingisha kibiriti. You never know with women...
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivo ndivo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndo unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndo anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayar ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Mama ni Simba wa Tsavo
 
Mama asubiri nini tena wakati maadui zake tayari walishaingia kwenye ngome yake na kuelekea kuiteka?
Vita ya madaraka ndani ya CCM ni nzito mnoo kwa sasa, walioko karibu wanajua hii ni timing game, ukisubiri adui yako akusogelee kwa karibu basi huwezi kutoboa.

Nenda kamuulize Bashiru na Pole Pole nini kilimkuta mzee Meko, leo hii amebakia kuwa hadithi, alicheka na wahuni akijua ni wenzake kwa kuwa wamevalia mashati ya kijani, kilichomkuta ni majuto.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivo ndivo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndo unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndo anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayar ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Hilo swala haliitaj kilainish kama unavyotaka inatakiwa lipite kavu kavu walikua wanatikisa kiberiti sasa washajua mama hatabiriki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivo ndivo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndo unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndo anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayar ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.


Kwanini tunapenda sana watu fake? Kwanini asiseme ya moyoni kwake. Huyu Rais inaelekea ni muwazi sana
 
Mimi niko na mama. Kwanza kaniudhi hakuzungumzia wale ndezi 19 Ndugai anaowafuga pale. Unamkandya mama na mikopo yake yenye maslahi ya Taifa wakati wewe unatumia mamilioni ya mahela ya watanzania kuweka kwenye vikoba vya wabunge hewa kisa tu kukomoa upinzani

Mama kaniudhi, hakumchamba vizuri mgogo. Sijui lakini, labda kaweka kiporo incase mgogo akatingisha kibiriti. You never know with women...
We mzee umenichekesha sana ila hii Job alipo hawezi lala bila kupiga Kvant
 
Back
Top Bottom