Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Kwa mujibu wa katiba ipi?Nchi hii public servants wote ni watumishi wa Mkuu wa nchi...
Na Kijani wote Raisi ndie bosi wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa katiba ipi?Nchi hii public servants wote ni watumishi wa Mkuu wa nchi...
Na Kijani wote Raisi ndie bosi wao.
Na sijui Kama itashuka vizuri🤣🤣🤣We mzee umenichekesha sana ila hii Job alipo hawezi lala bila kupiga Kvant
Pema usipopema ukipema si pema tena, walisemaga wahenga.Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.
Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.
Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.
Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"
Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.
Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.
Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.
Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Mama ni mnafiki tu! Hana analosimamia! Huyu hawezi kuaminiwa na watu wenye akili tena! Umebaki wewe!Usipotoshe, alichosema wale waliokuwa na uwezo mdogo wataungiwa kwa 27K ila wanajiweza watawekewa kwa bei halisia.
Usiwe mjinga,katiba yetu hii huwezi kushindana na rais ukashinda ndugugay ni mtu mdogo sana asikudanganyeu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Kwahiyo na Michenzani ilikuwa mwenye mbuzi na mvuvi walilipa?Usipotoshe, alichosema wale waliokuwa na uwezo mdogo wataungiwa kwa 27K ila wanajiweza watawekewa kwa bei halisia.
Mama hakutaka unafiki, Yuko sahihi.pia ameonyesha hataki fanya Kaz na ndugaiKwa nguvu za Kimamlaka alizonazo Rais ,hakuwa na sababu ya kumjibu Mshenga namna ile! Kisiasa za kimanukato" (za kwetu wakesha hoi na wapiga kura) Mshenga alishalegea,ingawaje inaweza isiwe hivyo kiuhalisia!
Kwa kifupi mama kademka! Kwa kuonesha wazi kiwa kina Vita kubwa kqenye Chama chake!
Hata hivyo nikikumbuka ya Ben Saanane,Mawazo,Gwandu,...ya Lissu na sasa Mbowe+ ule uchafuzi wa 2019 na 2020 acha tunamshukuru MUNGU kwa kujibu maombi yetu!🥰🥰🥰🥰
Mama bila ya kofia ya Rais ni mama wa kawaida tu kutoka Unguja.Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.
Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.
Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.
Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"
Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.
Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.
Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.
Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Kwa katiba yetu,na katiba ya chama chao (CCM) Spika hana nguvu zozote (anazoweza kurejesha) dhidi ya Rais wa nchi na mwenyekiti wa chama chao.Akipanga kujaribu ( siyo akiharibu) Atashughulikiwa kikamilifu kabla jagoo hajawi Uspika,na Hivyo kujikuta nje ya ofisi.Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Hamna la kulipuka japo wote ni ccm uwepo wa the so called covid 19 ni kwa maslahi mapana ya serekali ya ccm.Fact, you never know with women. Lile la Covid19 ni silaha iliyowekwa kiporo, akijaribu kufurukuta litamlipukia mikononi live bila chenga.
Sema wewe ndio hamuamini ila tulio wengi hautuambii kitu kwa huyu Mama.Mama ni mnafiki tu! Hana analosimamia! Huyu hawezi kuaminiwa na watu wenye akili tena! Umebaki wewe!
Kipi unachojaribu kukielezea hapa, I can't follow MkuuKwahiyo na Michenzani ilikuwa mwenye mbuzi na mvuvi walilipa?
HakikaMama bila ya kofia ya Rais ni mama wa kawaida tu kutoka Unguja.
Akishaapa na kuwa rais mbele ya mashahidi ni mtu mwenye nguvu sana Tanzania hii.
Huwezi kushindana na rais/mwenyekiti aliye madarakani halafu ukategemea kushinda.
Mama hana unafki, yeye ananyoosha mamboSema wewe ndio hamuamini ila tulio wengi hautuambii kitu kwa huyu Mama.