Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Pema usipopema ukipema si pema tena, walisemaga wahenga.
 
Kwa nguvu za Kimamlaka alizonazo Rais ,hakuwa na sababu ya kumjibu Mshenga namna ile! Kisiasa za kimanukato" (za kwetu wakesha hoi na wapiga kura) Mshenga alishalegea,ingawaje inaweza isiwe hivyo kiuhalisia!
Kwa kifupi mama kademka! Kwa kuonesha wazi kiwa kina Vita kubwa kqenye Chama chake!
Hata hivyo nikikumbuka ya Ben Saanane,Mawazo,Gwandu,...ya Lissu na sasa Mbowe+ ule uchafuzi wa 2019 na 2020 acha tunamshukuru MUNGU kwa kujibu maombi yetu!🥰🥰🥰🥰
 
We unadhani mama karopoka tu? Mtu ana vyombo vyote vya kiuchunguzi.Mama Yuko sahihi, ningefurahi kamchana live ndugai
 
Kwa nguvu za Kimamlaka alizonazo Rais ,hakuwa na sababu ya kumjibu Mshenga namna ile! Kisiasa za kimanukato" (za kwetu wakesha hoi na wapiga kura) Mshenga alishalegea,ingawaje inaweza isiwe hivyo kiuhalisia!
Kwa kifupi mama kademka! Kwa kuonesha wazi kiwa kina Vita kubwa kqenye Chama chake!
Hata hivyo nikikumbuka ya Ben Saanane,Mawazo,Gwandu,...ya Lissu na sasa Mbowe+ ule uchafuzi wa 2019 na 2020 acha tunamshukuru MUNGU kwa kujibu maombi yetu!🥰🥰🥰🥰
Mama hakutaka unafiki, Yuko sahihi.pia ameonyesha hataki fanya Kaz na ndugai
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Mama bila ya kofia ya Rais ni mama wa kawaida tu kutoka Unguja.

Akishaapa na kuwa rais mbele ya mashahidi ni mtu mwenye nguvu sana Tanzania hii.

Huwezi kushindana na rais/mwenyekiti aliye madarakani halafu ukategemea kushinda.
 
Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Kwa katiba yetu,na katiba ya chama chao (CCM) Spika hana nguvu zozote (anazoweza kurejesha) dhidi ya Rais wa nchi na mwenyekiti wa chama chao.Akipanga kujaribu ( siyo akiharibu) Atashughulikiwa kikamilifu kabla jagoo hajawi Uspika,na Hivyo kujikuta nje ya ofisi.


Kama Mkuu wa nchi, Anaweza kumshughulikia kwa kumpelekea ujumbe,wa wasiojulikana na kumlazimisha kwamba kesho SAA nne unapaswa kujihudhuru na hotuba ya kujihudhuru hii hapa na akatii bila tashwishwi. ( Hii ndo inawwza kutokea).

Mwenyekiti wa chama anaweza kumshughulikia ipasavyo kwa njia zifuatazo.

1) Kuwatumia wabunge wa CCM kupitia kikao chao kuadhimia kupekeka hoja kwa katibu wa bunge kuwa hawana imani na spika.Hasikudanganye mtu eti Ndugai ana wabunge sijui wanamuunga mkono.

Kumbuka % kubwa ya wabunge hawa hawakushinda chamani kwenye kura za maoni wala kwenye sanduku la kura za wananchi. Nguvu ya urais iliwapa ubunge.Ni kweli wakati huo Rais alikuwa Magufuri lakini fact ni kwamba walionja nguvu ya urais na wanagegemea iwabebe tena 2025.
.
2. CCM wanaweza kuchukua kadi yao, Hivyo ubunge wa Job kukoma na kukisa udhamini wa chama kwebmnye Us
 
Fact, you never know with women. Lile la Covid19 ni silaha iliyowekwa kiporo, akijaribu kufurukuta litamlipukia mikononi live bila chenga.
Hamna la kulipuka japo wote ni ccm uwepo wa the so called covid 19 ni kwa maslahi mapana ya serekali ya ccm.
 
Kuna haja ya kubalance mambo, Mama atuwekee Waziri Mkuu Mkatoliki amtimue huyu muongo muongo.

Lukuvi?🤔
 
Back
Top Bottom