Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Usichokijua hii Vita hapigani Ndugai kuna genge kubwa nyuma yake ila yeye ametumika tu kuchafua hali ya hewa,wanasoma code za mama ili wajue wapi pa kuanzia
Binafsi namuombea Sana Mama apite salama katika wimbi hili na InshaAllah atatoboa tu,kwa kuwa wengi tumeshamuelewa (sauti ya wengi Ni sauti ya mungu), mkuu mbona iko wazi kwamba jamaa nyuma yake Kuna kundi?
Ndo Mana Mimi najiuliza bwana Yule angeweza kufanya ununda ule kwa mtu kama Magufuli au Nyerere?
Nnachojua Ni kwamba ingekuwa nyerere angekuwa keshatemeshwa card na kusindikizwa kijijini kwake na kuwekewa daftari la kusaini Kila anapoamka na Kila anapotaka kulala, anachokifanya Ni typical uhaini.
 
Back
Top Bottom