Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Msituletee mambo ya kihuni.
Jiwe alikuwa akiua na kuwaweka jela waliompimga.
Akili za jiwe mpaka sasa binge angeshalivunja ila mama mvumilivu.
Shida ni kwamba bunge likivunjwa.. maana yake wanarudi kwenye mchakato wa uchaguzi kitu ambacho CCM hawajiamini nacho.

Lazima wachezee kichapo kwa upinzani, nadhani hichi ndo kinawapa uoga wa kuvunja bunge
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya mashambulizi ya kushtukiza. Hiyo ndo namna bora ya ku react pale unapohisi kuna sabotage.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.

Ni kweli Ndugai kuna moto amewasha, mama alitakiwa kuuzima kwa kukubali msamaha kidiplomasia, ila sasa mama naye kauwasha moto. Matokeo yake hapa sasa kuna limoto linawaka na linafukuta.

Nnachoona hapa soon tutasikia mayowe! Hatujui nani atapiga sasa, maana limoto linawaka
Wewe ni wa ovyo sana... Adui zako wanapigana wenyewe kwa wenyewe wewe unakazana kuwapangia jinsi ya kumaliza ugomvi wao!
Shame on you... Ndugai si mjinga... Mama naye kuna vitu anavijua... Waache wapigane!! Wametupiga sana hao!
 
Nakubaliana na mtoa hoja.
Nakumbuka wakati wa JPM kuna kikosi cha watu walikuwa wakimtukana sana, lakini yeye hakuonesha reaction yoyote hadharani ingawa aliwajua vizuri kabisa waliokuwa wakimtukana, akiwemo MHUNI.
Lakini kwa upande mwingine tunaweza kusema, Auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga huo huo.
Maana, wale wote waliokuwa wakimtukana JPM matusi ya nguoni, yeye amewakumbatia. Hapo tunajifunza nini?
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya mashambulizi ya kushtukiza. Hiyo ndo namna bora ya ku react pale unapohisi kuna sabotage.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.

Ni kweli Ndugai kuna moto amewasha, mama alitakiwa kuuzima kwa kukubali msamaha kidiplomasia, ila sasa mama naye kauwasha moto. Matokeo yake hapa sasa kuna limoto linawaka na linafukuta.

Nnachoona hapa soon tutasikia mayowe! Hatujui nani atapiga sasa, maana limoto linawaka
Ndugu wa Marehemu sisi tunawaombea moto usizime hadi mgawane fito zote
 
We mzee umenichekesha sana ila hii Job alipo hawezi lala bila kupiga Kvant
Kama yule popo anapiga K Vant, nadhani umefika muda wa mimi kuachana na hicho kilauri. Kwamba K Vant inanywewa na wagogo?
 
Nakubaliana na mtoa hoja.
Nakumbuka wakati wa JPM kuna kikosi cha watu walikuwa wakimtukana sana, lakini yeye hakuonesha reaction yoyote hadharani ingawa aliwajua vizuri kabisa waliokuwa wakimtukana, akiwemo MHUNI.
Lakini kwa upande mwingine tunaweza kusema, Auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga huo huo.
Maana, wale wote waliokuwa wakimtukana JPM matusi ya nguoni, yeye amewakumbatia. Hapo tunajifunza nini?
Hebu sali: NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA
 
tatizo mnashindwa kupambanua Boga na Tango.
Kiufahamu tabia za kike na zakiume ni tofauti ,kwa ikilivyo Raisi Samia yupo sahihi kabisa,wenyewe wanasema amempa makavu makavu,amempasha ,aafu sku izi wamama wanatabia wakikasirika wanakamata machuchu na kuyainua kwa pamoja,zamani walikuwa wanajifunga na kukaza kibwewe wasku izi ndio hio ya kuyainua machuchu kama wanaopania .
Warume tukubali wammama huu ni utawala wao na style za kupandisha hasila kikawaida zipo nje nje.
Mkuu nimevuta picha ya kibwebwe na kupandisha maziwa nimecheka sana
 
Hahahaaaa kwenye karatasi ni kweli lakin kiuhalisia supika ni mtumish wa rais kwa sababu katiba haija eleza kama ukiwa supika huwezi futiwa uanachama ila inaeleza ukiwa huna chama huna sifa ya kuwa mbunge na huwezi kuwa speaker wa bunge ikiwa wewe sio mbunge na mwenyekiti wa chama ananguvu kubwa ya ushawishi wankufutiwa uanachama chaman hivyo tu yaan
Mkuu rejea vizuri katiba unaweza kuwa speaker pasipo kuwa mbunge ,,rejea Pius Msekwa
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya mashambulizi ya kushtukiza. Hiyo ndo namna bora ya ku react pale unapohisi kuna sabotage.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.

Ni kweli Ndugai kuna moto amewasha, mama alitakiwa kuuzima kwa kukubali msamaha kidiplomasia, ila sasa mama naye kauwasha moto. Matokeo yake hapa sasa kuna limoto linawaka na linafukuta.

Nnachoona hapa soon tutasikia mayowe! Hatujui nani atapiga sasa, maana limoto linawaka
Huwezi kusema mama kakosea,kila mtu ana principles zake katika kuhandle sensitive issues hivyo usilazimishe kwamba principles zako wewe ndo ziwe Sahihi,afterall mama hajaona sababu ya kuwa mnafiki,kachukia na kaonesha amechukia.
 
Hivi ikatokea leo mgogo akondoka ghafla itakuwaje?
 
Mkuu rejea vizuri katiba unaweza kuwa speaker pasipo kuwa mbunge ,,rejea Pius Msekwa
Nadhan rejea tena wewe kusoma katiba vizur na kwa utulivu misingi ya upatikanaji wa speaker ndiyo inayo halalisha kwamba akifutiwa uanachama anakosa sifa za kuwa mbunge na kwa vile uspika wake kaupata kutoka kwenye ubunge basi akiondolewa ianachama na kit cha uspika kakipoteza
 
CCM hawajawahi kuwa smart mfumo tu unawabeba ndugai aliingia mkenge ila point aliyofikia kwakuwa sio smart atawataja na uenda ameshawataja walio nyuma yake tarajia makubwa sana.

Usifanye mipango na Mgogo hata siku mojaa hawashirikishi akili bali njaa na kuomba omba ni karama yao
 
Huo mtifuano wa Spika na Rais ndio utawafanya Wananchi wajue madhaifu ya Katiba yetu
 
Huwezi kusema mama kakosea,kila mtu ana principles zake katika kuhandle sensitive issues hivyo usilazimishe kwamba principles zako wewe ndo ziwe Sahihi,afterall mama hajaona sababu ya kuwa mnafiki,kachukia na kaonesha amechukia.
Usichokijua hii Vita hapigani Ndugai kuna genge kubwa nyuma yake ila yeye ametumika tu kuchafua hali ya hewa,wanasoma code za mama ili wajue wapi pa kuanzia
 
Ndugai hawezi jiuzulu aisee.. Take it from me. Yaani uwarahisishie kazi?
SSH kutokana na hotuba yake kiaina ni kama amemwelekeza ajiuzulu lakini kwa viongozi wa siasa za kiafrika ni ngumu kukubali mara moja bila shinikizo, ni Mwalimu Nyerere pekee aliyekuwa na ujasiri wa kukuangalia machoni na kukuambia moja kwa moja fulani Jiuzulu..
 
Anyway, ila kumbuka tu huwa kuna General na Specific rules.. Mara nyingi ili huwe kwenye safe side, tumia General rules ambayo viongozi wengi huwa wanatumia..
ni kweli ingawa inategemea na muda ulionao km ni rafiki kuapply rule husika
 
Mama alikua nayo moyoni siku nyingi alikua anasubir achokozwe tu
 
Back
Top Bottom