Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe ezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
uko sawa but kila mtu ana mbinu zake kwe kudeal na mamb km haya
 
Apindue tu meza ili minyukano ianze mapema, vita ni vita muraaa..........
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Nimependa rais alivyofanya, huyo mgogo ana shida sana. Ni mbabe ni mkatili kupita kiasi, hivi umeshasahau "What goes around comes around? Ndugai anayo mapungufu mengi sana, Uongo wake kuwa hiyo video imetengenezwa imemtokea puani...Mzandiki, ameumiza wengi sana.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Siasa ni kazi kubwa sana. Nadhani hajui kabisa siasa. Hoja inajibiwa kwa hoja na siyo kushambulia wala kutishana
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Mtego upo kwa kisu cha mwenyekiti😅 lazma kipite na shingo ya Sabufa kwa kumuondoa chamani
 
Tz bado sana, marekani spika wa bunge aliichana hotuba ya raisi waziwazi kisa tu hawafanani kimitazamo huku spika anaomba msamaha hadi huruma
Huku sio marekani mzee😅 unaweza onesha umwamba raisi akatulia zake na wapambe wakakutia sumu bila kuelewa unadefedi kiroho safi
 
Tz bado sana, marekani spika wa bunge aliichana hotuba ya raisi waziwazi kisa tu hawafanani kimitazamo huku spika anaomba msamaha hadi huruma
Huku sio marekani mzee😅 unaweza onesha umwamba raisi akatulia zake na wapambe wakakutia sumu bila kuelewa unadefedi kiroho Safi au unavuliwa vyeo chamani unatimuliwa kwenye system na kuwa mtu wa kawaida tu kama 7YA
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Mkuu hii point ya kimkakati wa ki'c.i.a.....[emoji16][emoji16]
 
Mama ilikua kama muda mfupi katoka sikiliza taarabu ametembeza mipasho ya kutosha.

Ila CCM ni wanafiki, nimesikia wakaanza kuimba tuna imani na mama samia, oya x2 , Samia kweli x2 ahahah ahha. Mipasho ilivyokolea
Kama umemsikia baada ya wimbo huo alivyosema, "wimbo huo unatukumbusha mbali sisi wanaccm wakongwe"!
Jee unajuwa ni wapi? Ni kuwa wimbo huo uliimbwa na halmashauri kuu kwenye mgogoro wa kumtema Lowassa na wakaimba "tunaimani na Lowassa".
Mama anajua unafiki wa ccm na hao wenyeviti wake, wanaweza imba hivi na kesho wanafanya vile
 
Kama umemsikia baada ya wimbo huo alivyosema, "wimbo huo unatukumbusha mbali sisi wanaccm wakongwe"!
Jee unajuwa ni wapi? Ni kuwa wimbo huo uliimbwa na halmashauri kuu kwenye mgogoro wa kumtema Lowassa na wakaimba "tunaimani na Lowassa".
Mama anajua unafiki wa ccm na hao wenyeviti wake, wanaweza imba hivi na kesho wanafanya vile

Ahahah nilisikia hii kitu
 
Siasa zetu ni za kufuata mkumbo au upepo na kujikomba. Mama kusema hadharani ndiyo njia nzuri ya kushinda kwa sababu wote wamesikia na watashambulia kweli kweli.
 
Fukuto huko ndani ni kali sana
Nakubali haujui hasa ukubwa wake. Wako wakijani wengi tu mchana ni kondoo usiku ni koboko.
Mama awe mwangalifu na asiogope kufanya lililo la haki.
Ni kweli wapinzani somehow ni positive kwa Samia ilhali kuna kijani wengi wako negative kwake.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
aanzishe chama CCM igawanyike, ila sidhani kama atapata wafuasi....sema Ndugai hakujenga marafiki, alijenga ubabe kumuegemea Magufuli
 
Hahahaaaa kwenye karatasi ni kweli lakin kiuhalisia supika ni mtumish wa rais kwa sababu katiba haija eleza kama ukiwa supika huwezi futiwa uanachama ila inaeleza ukiwa huna chama huna sifa ya kuwa mbunge na huwezi kuwa speaker wa bunge ikiwa wewe sio mbunge na mwenyekiti wa chama ananguvu kubwa ya ushawishi wankufutiwa uanachama chaman hivyo tu yaan
Spika mwenye integrity hawezi kukubali kufanywa mtumishi wa Mwenyekiti wa chama chake. Na Mwenyekiti hawezi kumfukuza kwenye chama bila ushirikiano wa wenzake. Hiyo si rahisi kwa mtu anaejulikana kwa uadilifu wake. Ila kama ulijiweka ki utumishi utumishi hivi basi utaondoka maana wenzako itakuwa rahisi kuwashawishi wakutose. Aidha, Spika mtenda haki anakuwa anakubalika sana kwa raia ambao hawatafurahi kuona anaonewa kwa sababu ya msimamo wake. Bahati mbaya Spika wa sasa alijiweka kama mtumishi na hiyo ndio inayomponza.

Amandla...
 
Hata Mimi kwa ushauri rais asingetema nyingi,angenyamaza kimya harafu baada ya mwezi mmoja angeibukia kuvunja baraza la mawaziri na kuipanga safu vizuri
 
Back
Top Bottom