Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Kwa uhakika mpaka mtu anatoka hazarani na kumshambulia Bosi wake ni kuwa alianzia Mbali, na chama,serikali ni taasisi Ndogo ambazo unaweza kufanya utafiti kwa muda Mdogo na kuwajua wote, Rais amekua kwenye hizo taasisi kwa muda wa kutosha anawajua kwa asilimia kubwa, kuwasema hazarani ni pigo Kubwa kwa ambao wako kinyume naye, Na kwa hali ilivyo hapakua na wala hakuna sababu ya kumshambulia na kumsema Rais ambaye amekua kwenye madaraka kwa chini ya Mwaka lakini akipitia changamoto Kubwa za ndani na za kimataifa, Mpaka sasa ameonyesha ni Kiongozi bora kuliko wote waliopita. Jamii isiyo na utaratibu ni jamii mfu, kuna utaratibu ambao ni katiba ufuatwe. na maamuzi ya Wananchi yaheshimiwe na kufuatwa.
Hilo sio pigo ni njia tu ya wao kujipanga...
Walianza na gazeti la uhuru wanazidi kumsogelea
Vivaaa Ndugai.
Vivaaa mitano tenaaaa.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Tukimpa heshima mama tunaweza kufika mbali;yuko cool tena kisha ruhusu wanaotaka kupima kina cha maji wacha wapime.
 
Mimi niko na mama. Kwanza kaniudhi hakuzungumzia wale ndezi 19 Ndugai anaowafuga pale. Unamkandya mama na mikopo yake yenye maslahi ya Taifa wakati wewe unatumia mamilioni ya mahela ya watanzania kuweka kwenye vikoba vya wabunge hewa kisa tu kukomoa upinzani

Mama kaniudhi, hakumchamba vizuri mgogo. Sijui lakini, labda kaweka kiporo incase mgogo akatingisha kibiriti. You never know with women...
Kwakweli amemsitiri sana, ilibidi ampe ampe tena.
 
Mgogo kiufundi alikosea kuomba msamaha kwa sababu alishashasema alinukuliwa vibaya sasa Kama alinukuliwa vibaya msamaha wa Nn angekaaa kimya, Pia angekaaa kimya alishajilipua kuomba Msamaha amezid kujiabisha anasimamia Nn
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Ni mtizamo wako,binafsi naona mama kafanya jambo sahihi Ili kupeleka ujumbe kwa wapuuzi wengine.
 
Mama kanifurahisha sana yaani kawanyoosha kisawasawa
 
Mama kashika jembe, JOB kashika mpini na imani kubwa Job Ndugai atakuja na comeback ya aina yake sasa hivi ni mwendo wa liwalo na liwe tu.
 
Kwani 2025 CCM hawataiba kura. Mbona huu mpasuko? Huku wasukuma, kule wahehe, hapa wakwere. Ni wakati Sasa wachaga kujipenyeza katikati ya huu mpasuko.
 
Msituletee mambo ya kihuni.
Jiwe alikuwa akiua na kuwaweka jela waliompimga.
Akili za jiwe mpaka sasa binge angeshalivunja ila mama mvumilivu.
 
Spika sio mtumishi wa Rais.

Amandla...
Hahahaaaa kwenye karatasi ni kweli lakin kiuhalisia supika ni mtumish wa rais kwa sababu katiba haija eleza kama ukiwa supika huwezi futiwa uanachama ila inaeleza ukiwa huna chama huna sifa ya kuwa mbunge na huwezi kuwa speaker wa bunge ikiwa wewe sio mbunge na mwenyekiti wa chama ananguvu kubwa ya ushawishi wankufutiwa uanachama chaman hivyo tu yaan
 
Back
Top Bottom