Kwahiyo hata wauza unga nao walikuwa wanafanyiwa dhulma? Hata waharifu kama panya road nao walikuwa wanafanyiwa dhulma?Achana nao hao.Wengi wa wanaoonesha chuki kwa SSH ni masikini.Hawa walikuwa wanafurahia matajiri,wafanyabiashara na watumishi wa umma kuumizwa na kufanyiwa dhulma.Kwa akili zao nyembamba walidhani hayo makundi yakifanyiwa udhalimu ndiyo watalingana nao kuuishi ufukara.Akili za kimasikini kama mpendwa wao jiwe!Tell them to go to hell!
Muuza mbogamboga,machinga,dereva bodaboda n.k anayeguswa na kulalamikia makato makubwa kwenye miamala ya fedha unafikiri ukimuwekea hizo taarifa zako atakuelewa? Au hao hawana mpango ni wajinga tu wao wasubiri uchaguzi wapewe kanga na tisheti wakapige kura ila maisha yako vilevile?Chuki binafsi zimewazidi hao mbwa wa Sukuma gang..
Sekta yeyote unayoijua wewe hapa Tanzania kuanzia Kilimo hadi Barabara na habari Samia kafunika...
Unfortunately hakuna mgombea atamshinda Samia kwa namna yeyote,kama wanaye waambie wamuweke hapa .
Ona hapa kwenye sekta ya Habari π
View attachment 2233875
View attachment 2233876
View attachment 2233877
View attachment 2233878
View attachment 2233879
View attachment 2233880
View attachment 2233881
View attachment 2233882
View attachment 2233883
View attachment 2233884
View attachment 2233885
View attachment 2233886
View attachment 2233887
View attachment 2233888
Mkuu mama alikuwa anaweza kufanya mazuri kuzidi Magu au kusahihisha makosa yote ya Magu bila kurudisha matatizo yaliyokuwepo awamu ya JK.Binafsi nilichokiona watu bado wanaamini katika RAIS MWANAUME. Ila kwenye kufanya kazi vizuri MAMA SAMIA yuko Far better than MAGUFULI. NAMKUBALI KINOMA NOMA JPM ila mama Samia anatumia Busara, Hekima, nidhamu na Utu katika kuongoza. Kama huyu mama angekuwa Rais mara baada ya KIKWETE amini nakwambia hii nchi ingekuwa mbali mno, kwanye Sekta nyingi sana, Ajira, Biashara, Uvuvi, Kilimo nk.
Thank You Hon. Pres. Samia.
Watu wamezoea vitisho.
πππππππππππ..Muuza mbogamboga,machinga,dereva bodaboda n.k anayeguswa na kulalamikia makato makubwa kwenye miamala ya fedha unafikiri ukimuwekea hizo taarifa zako atakuelewa? Au hao hawana mpango ni wajinga tu wao wasubiri uchaguzi wapewe kanga na tisheti wakapige kura ila maisha yako vilevile?
Ila pia wapo wanaomuunga mkono Samia kwa sababu ya uislamu wake na wapo wanaomuunga mkono kwa jinsia yake japo wengine wanabadili gear angani.Sababu ni hizi hapa
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Wakati gani umeshuhudia wakimwaga sifa wote hapa penyewe?Wawaachiye wanaoweza kukosoa.Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?
Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?
Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,
Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,
Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana
Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,
Wanaamini wezi wamerudi serikalini,
Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,
Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake
Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,
Utaleta majibu hapa ,
Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?
Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?
Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?
Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,
Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia
Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?
Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,
Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Tuanzie wapi kukusaidia ?Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?
Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?
Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,
Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,
Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana
Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,
Wanaamini wezi wamerudi serikalini,
Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,
Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake
Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,
Utaleta majibu hapa ,
Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?
Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?
Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?
Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,
Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia
Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?
Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,
Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Utekaji upo kama kawa, sema hujaingia kwenye 18 za watekaji wake.staff ya wapi hiyo? Ni bora huyu mama mara mia japo anapuyanga kuliko Jiwe.
Uhuru tu wa kufanya mambo yangu bila hofu ya kutekwa inatosha, mama dhibiti vibaka tu na hawa panya road kura tutakupa
Wapo wenye kufaidika na aina ya uongozi wa Sasha, mambo yake ndio yanaenda sasa mtu huyo ukimwambia Sasha hasomeki huko kitaa anakuona una roho mbaya ndio maana unaona kauli et una wivu, sasa mtu kama mie ni nani hadi nimuonee wivu rais wa nchi?Hivi kwanini watu wanapoongea ukweli kuhusu kutokubalika SSH wananuna wakati huo ndio ukweli.
Wewe unadhani kwamba Samia atakuwa bora kwa kufanya yaliyo kinyume na Magufuli huku ukidhani kwamba waliyokuwa hawamuelewi Magufuli basi lazima wamuelewe Samia.Mapunguani sukuma gang mmeshafeli.
Mama ni kipenzi cha watanzania zaidi ya 70% except sukumas
Mama anapendwa sana na tutamuongezea muda hadi 2035Unachokisema ni kweli. Kundi kubwa halimkubali. Walio karibu naye hawampi yote ili kilinda vibarua vyao.
Tatizo la Samia ni kuwa hana agenda yeyote inayovutia watu kwakua hakujiandaa kuwa Rais na watu hawakumchagua kutokana na agenda yake hivyo inakua vigumu kweli kumkubali na mambo yake.
Atatumia nguvu sana kukubalika.
Wanachi wa eneo husika wanaweza kuchanga pesa wakajenga.Madarasa ya shule yaliyojengwa huyaoni?
Hapo tumia akili yako kwa kupembua ukweli na hiyana.Kwahiyo hata wauza unga nao walikuwa wanafanyiwa dhulma? Hata waharifu kama panya road nao walikuwa wanafanyiwa dhulma?
Mkuu binafsi sijawahi kuishi kwa hofu kwa kuogopa kutekwa katika maisha yangu sijui wengine, labda sasa tu nakuwa makini na panya road.Watu wamesahau haraka sana, jinsi walivyokuwa wakiishi kwa hofu ya kutekwa na kupotezwa.
Tukumbuke rais naye ni binadamu, hajakamilika kwa mambo yote. Tujifunze pia kuvumilia mapungufu ya wengine.
Laikini pia kwa hulka ya binadamu, hata Mungu akitupatia malaika atuongoze, bado tutamlaumu na kumkosoa vikali.
Sahau hizo ndoto.CCM itapata shida sana ikiwa itaamua kumsimamisha SSH kwenye uchaguzi 2025 (nadhani watamshauri apumzike), ukweli ni kwamba hakubaliki, sio kwasababu hafanyi kazi bali ni wananchi hawamwelewi tu na hata wanaojaribu kumpaka mafuta huku jukwaani wanalijua vizuri hilo.
Itawalazimu waibe kura kwa kiwango ambacho hawajawahi kufanya tangu uhuru wa Tanzania na kwenye viti vya ubunge upinzani utazoa sana viti.
NB: Sidhani kama CCM watafanya kosa la kumsimamisha SHH, nafikiri atashauriwa aache kugombea kwa masilahi mapana ya chama
Wapiga dili kama nyie mmerudi kwenye chati lazima miamala iongezeke ila vilio kwa raia vya hayo makato bado viko palepale.πππππππππππ..
Kwa hiyo yangekuwa makubwa miamala ingeongezeka? π
View attachment 2234315
View attachment 2234316
Mbona hatuvisikiiWapiga dili kama nyie mmerudi kwenye chati lazima miamala iongezeke ila vilio kwa raia vya hayo makato bado viko palepale.