Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi

Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi



Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"

Mama umenena, kama kiongozi wao ana akili basi atakwenda kufanya tuliyowatuma. shida ni kwamba panya ni wengi hawachimbi shimo likaenda, twende kwenye draft ya Jaji Warioba wapunguzwe wawe wachache wenye tija
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Tundu Lisu na Hussein Bashe ni mfano wa wabunge mahiri ambao hawakuendekeza mizaha mipasho au utani wa kijinga wawapo ndani ya ukumbi wa bunge.

Ramadhan Kareem!
Mama Samia ananichanganya, kama anaweza kuwaacha covi-19 wanapepea bungeni wakati akijua wazi kuwa ni batili, then leo anasema bunge halifanyi kazi yake, ninakuwa na mashaka na dhamira yake! Mtu-busara angelimwamrish Ndugai awaondoe hao kwanza maana hao hoja yao ni ya wazi/ubatili wao niwa wazi hauna mashaka. Hawa wengine walioingia kwa nguvu ya TISS/Polisi?JKT/Mahela/Kaijage can wait another wayout!
 
Mama Samia ananichanganya, kama anaweza kuwaacha covi-19 wanapepea bungeni wakati akijua wazi kuwa ni batili, then leo anasema bunge halifanyi kazi yake, ninakuwa na mashaka na dhamira yake! Mtu-busara angelimwamrish Ndugai awaondoe hao kwanza maana hao hoja yao ni ya wazi/ubatili wao niwa wazi hauna mashaka. Hawa wengine walioingia kwa nguvu ya TISS/Polisi?JKT/Mahela/Kaijage can wait another wayout!
Wewe unajuaje kuwa akina Halima Mdee ni batili?
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Spika Ndugai anaweza kwenda kuchota uzoefu kwa Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema namna ya kuwaongoza watu na kuwamudu.

Nimeshangaa Spika Ndugai kuzidiwa nguvu na makundi mawili ya wabunge na kuamua kurudisha mpira kwenye chama.

Wabunge wanatakiwa kudhibitiwa na Spika kwa matendo wanayotenda ndani ya bunge na siyo kukata rufaa kwa Rweikiza ambaye ni Katibu wa wabunge wa CCM. Labda kama Spika Ndugai ana kundi lake kati ya hayo mawili la Mahyenga na lile la Nape.

Ramadhan Kareem!
 
Mkuu ni kwasababu wafuasi wa mbowe ni wa empty vichwani.

Alafu sijaona ni wapi Ndugai amefeli.

Shida ni kuruhusu wale wabunge wajibu upumbavu wa wajinga wa mitandaoni hilo tu ndio mnaona kafeli
 
Mkuu ni kwasababu wafuasi wa mbowe ni wa empty vichwani.

Alafu sijaona ni wapi Ndugai amefeli.
Shida ni kuruhusu wale wabunge wajibu upumbavu wa wajinga wa mitandaoni hilo tu ndio mnaona kafeli
Hivi ndivyo wanaccm mlivyo
20210416_081237.jpg
 
Back
Top Bottom