Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi

Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi

Naona sindano tulizo kuchoma zimeanza kufanya kazi na sasa unarudia kwenye hali ya uhalisia wako.
 
Mkuu ni kwasababu wafuasi wa mbowe ni wa empty vichwani.

Alafu sijaona ni wapi Ndugai amefeli.
Shida ni kuruhusu wale wabunge wajibu upumbavu wa wajinga wa mitandaoni hilo tu ndio mnaona kafeli
Ndio kushindwa kwenyewe huko
 
Bavicha mna kazi sana!

Sasa hivi mko na cd nyingine ya spika
 
Mkuu ni kwasababu wafuasi wa mbowe ni wa empty vichwani.

Alafu sijaona ni wapi Ndugai amefeli.
Shida ni kuruhusu wale wabunge wajibu upumbavu wa wajinga wa mitandaoni hilo tu ndio mnaona kafeli
Waliopo Mitandaoni Wana uwezo mkubwa kuliko Wabunge na ndio Maana Wameweza kupiga Ngoma Wabunge wanacheza.
 
raha ya bunge ilikuwa enzi ya sita ahaha alilita bunge la kasi na viwango
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Spika Ndugai anaweza kwenda kuchota uzoefu kwa Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema namna ya kuwaongoza watu na kuwamudu.

Nimeshangaa Spika Ndugai kuzidiwa nguvu na makundi mawili ya wabunge na kuamua kurudisha mpira kwenye chama.

Wabunge wanatakiwa kudhibitiwa na Spika kwa matendo wanayotenda ndani ya bunge na siyo kukata rufaa kwa Rweikiza ambaye ni Katibu wa wabunge wa CCM. Labda kama Spika Ndugai ana kundi lake kati ya hayo mawili la Mahyenga na lile la Nape.

Ramadhan Kareem!
Anayetakiwa kudhibiti hao wabunge ni Spika lakn kwa vile ni wa CCM ni vema amwambie mwenyekiti wao aondoe hayo makundi.
Kwa vile Bunge ni la Jamhuri sio la chama ila kwa sababu ya uzandiki ache wademke.
 
Ukinizingua tutazinguana
Nawasalimu kwa jina la jamhuri , kazi iendelee.
Wanademka
Ngoja tuone kinachofuata, bunge limekuwa lunajibu hoja za kigogo bungeni.
 
Bunge letu dhaifu limejaa wacheza ngoma!!

Mama Samia ni mwamba, juzi kalichamba bunge na kesho kutwa anakuja bungeni 'kuwatandika viboko' wabunge ili washike adabu!
 
KUMPA UONGOZI WOWOTE NDUGAI NI KUMTWISHA MZIGO ASIOUWEZA. KWA UJUMLA JOB HAJIWEZI KWA LOLOTE! ANACHOWEZA NI KUWAPIGA NA RUNGU KICHWANI WASHINDANI WAKE WA UBUNGE KULE KONGWA TU.
 
Mama anajidanganya tu,huwezi kuwa na bunge fake ambalo wabunge wake wametokana na kura fake halafu usitegemee mijadala fake.Ni vyema Mama aache kujidanganya mwenyewe.
Bunge fake, spika fake. Kwanini wasijadili vitu fake? Lile siyo bunge ni mkusanyiko wa wizi wa fedha za umma. Hivi tunawalipa wale Covid-19 kama akina nani?
 
Kazi ipo 🤔
Mlipoambiwa dhaifu,mliapa kutoshirikiana na CAG,mmeambiwa mnacheza ngoma za mitandaoni mmeufyata, nasubiri kauli ya Sabufa aseme hatashirikiana na mama kwasababu kalidhalilisha bunge,la sivyo amtake radhi Assad.
 
🤣🤣🤣
161882460.jpg
1618824712.jpg
 
Majaliwa nae anademka bungeni ? Amepotea ana weweseka alipokataa jiwe kuombewa akadanganya msikitini
 
Back
Top Bottom