Kwaiyo unahisi suala watu kutokwa na damu puani na kuanguka, Ni suala Hadi mabingwa wa afya watoe report? Kwamba Rais hawezi kulisema? Na Rais hajasema Ni aina gani ya ugonjwa, ndiomaana kasema Kuna wataalamu wameenda kuchukua sampuli hili wajue Ni aina gani ya ugonjwa,
Wafuasi wa mwendazake mna chuki na Rais