Rais Samia mpongeze Lissu kwa ushindi, itakusaidia kisiasa

Rais Samia mpongeze Lissu kwa ushindi, itakusaidia kisiasa

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa, samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu KWA kushinda. Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,ww ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
ONGEZA SAUTI
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Akampongeze Lipumba kwanza.
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
AKUDUJA?? NALAHO NALOLE.
HIII CHENE INSEE YE!!
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hivi Lisu alishampongeza Mama kwa chama chake kumteua mgombea?
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Bado amenuna...Jana hajalala alikuwa kwenye TV na yule katibu wake Waziri
 
Hivi Lisu alishampongeza Mama kwa chama chake kumteua mgombea?
Mama na Lisu ni tofauti mkuu, huyu ni rais, lakini pia ni Ni mama ,unaelewa maana ya mama,
 
Back
Top Bottom