Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naufananisha ushindi huu kama ule wa Mzee Trumpet.Lissu inevitable
Maza yuko hoi chakula hakipandi
Bado haja absorb shock,mpe muda kidogo,akifikiria na mzigo aliochukua Ibenge ndiyo haurudi lazima avurugwe.Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hizo hata leo Ntu aka muuliza mwamba tuvushe/tuzamishe atamwambia achana na mimi/niache siko vizuri.4R zimeshashuka kwa jamii wewe uko wapi ndugu
wakuu wote wa kaya 4R zimeshatushukia makinika nduguMm nipo kwangu mkuu
Maza kwishaNaufananisha ushindi huu kama ule wa Mzee Trumpet.
Uenyekiti huo alioshinda alikuwa anashindana na nani!!??Kwani Lisu alimpongeza Samia kushinda uenyekiti CCM?
Scratch my back ,I scratch yours
Ushindani bila shaka ulikuwa kati ya ndio au hapana ila ambacho sikubahatika kujua ni kuwa mshindi alikuwa ndio au hapana,mwenye majibu tafadhali.Uenyekiti huo alioshinda alikuwa anashindana na nani!!??
Kwani kumpongeza mtu nayo ni KAZI.Acha kiherehere na usimfundishe kazi,pimbi wewe
Sisi tunazipongeza Simba na Yanga tu, au wanamuziki na mabondia, hiyo ndo size yetu!Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Alishindana Na kura za ndiyo au hapanaUenyekiti huo alioshinda alikuwa anashindana na nani!!??
Labda atashinda na baibui sio uchaguziMama atashinda mkuu
Familia za akina Soka Mzee Ali Kibao Shadrack pamoja na Sativa nk. Sijui kama watakuelewa?Uzuri wa rais SAMIA ana utu sana.