Rais Samia mpongeze Lissu kwa ushindi, itakusaidia kisiasa

Rais Samia mpongeze Lissu kwa ushindi, itakusaidia kisiasa

Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Watakutana kwenye kampeni za mwaka huu.
 
Huyu mmeshampa jina? Bado! Mpeni Jina la Tundu Lissu maana hatulii!
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Wewe naye unaweka chumvi na pilipili kwenye kidonda kibichi.
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Msilazimishe pongezi. Wenzio wanapima upepo, Akimpongeza, kampandisha chati. Leo hii mfano, sisi waafrika tunafanya uchaguzi halafu tunasikiliza wamagharibi wanasema nini wakati huvamia nchi na kumuondoa kiongozi aliyechaguliwa kihalali kwenye uchaguzi!
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.


Ni ngumu sana Rafiki wa mtoto wake Abdul wakina Wenje wameshidwa mpe muda kwanza wafute machozi.
 
Msilazimishe pongezi. Wenzio wanapima upepo, Akimpongeza, kampandisha chati. Leo hii mfano, sisi waafrika tunafanya uchaguzi halafu tunasikiliza wamagharibi wanasema nini wakati huvamia nchi na kumuondoa kiongozi aliyechaguliwa kihalali kwenye uchaguzi!
Kumpongeza ni sehemu ya maridhiano
 
Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,

Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.

Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.

Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Siku hizi anapongeza Magoli ya Simba na Ysnga tu.
 
Back
Top Bottom