Nakubali.Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
MUda huu chango inamuuma kwa ushindi huo hizo guts za kupongeza atapata wapiHeshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwani Lisu alimpongeza Samia kushinda uenyekiti CCM?Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Nchi haikuzaliwa na mama,labda bibi Titi kwenye uasisi...huu urais alipata kwa hisani amshukuru Mungu kumtwaa jiwe.Yeye kama mama wa nchi, na ni rais
Iwapo hofu ya ndani ilipelekea hata fomu moja isitolewe,ila tu neno ndio,unafikiri ni rahisi kutenda jambo ambalo mwenye hofu atahisi lina mpaisha anayemhofia?Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwani umeshatembelea pale tuitani?Ngoja tuone mkuu