Rais Samia mpongeze Lissu kwa ushindi, itakusaidia kisiasa

Nakubali.
 
MUda huu chango inamuuma kwa ushindi huo hizo guts za kupongeza atapata wapi
 
Uzuri wa rais SAMIA ana utu sana.
Tofauti na kiongozi fulani hivi aliyekuwa katili.
SAMIA mpaka 2030.
 
Nadhani ndiomaana mbogamboga walitoa fomu Moja ya mwenyekiti wakiamini mkeka wa jemedari lazima utiki
 
Kwani Lisu alimpongeza Samia kushinda uenyekiti CCM?

Scratch my back ,I scratch yours
 
Anajua how controversial that is, hawezi na itazua mijadala
 
Uzuri wa rais SAMIA ana utu sana.
Tofauti na kiongozi fulani hivi aliyekuwa katili.
SAMIA mpaka 2030.
Kweli kabisa mkuu, huyu mama ana utu sana shida ni machawa wake, mama hawezi kuruhusu mauwaji
 
Nchi haikuzaliwa na mama,labda bibi Titi kwenye uasisi...huu urais alipata kwa hisani amshukuru Mungu kumtwaa jiwe.
Hayo yote tunamwachia Mungu mkuu
 
Iwapo hofu ya ndani ilipelekea hata fomu moja isitolewe,ila tu neno ndio,unafikiri ni rahisi kutenda jambo ambalo mwenye hofu atahisi lina mpaisha anayemhofia?
 
Iwapo hofu ya ndani ilipelekea hata fomu moja isitolewe,ila tu neno ndio,unafikiri ni rahisi kutenda jambo ambalo mwenye hofu atahisi lina mpaisha anayemhofia?
Ngoja tuone mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…