Rais Samia mpongeze Lissu kwa ushindi, itakusaidia kisiasa

Watakutana kwenye kampeni za mwaka huu.
 
Familia za akina Soka Mzee Ali Kibao Shadrack pamoja na Sativa nk. Sijui kama watakuelewa?
Ni chawa wa mama ndio wanajiprndekeza kupitiliza mipaka
 
Huyu mmeshampa jina? Bado! Mpeni Jina la Tundu Lissu maana hatulii!
 
Wewe naye unaweka chumvi na pilipili kwenye kidonda kibichi.
 
Msilazimishe pongezi. Wenzio wanapima upepo, Akimpongeza, kampandisha chati. Leo hii mfano, sisi waafrika tunafanya uchaguzi halafu tunasikiliza wamagharibi wanasema nini wakati huvamia nchi na kumuondoa kiongozi aliyechaguliwa kihalali kwenye uchaguzi!
 


Ni ngumu sana Rafiki wa mtoto wake Abdul wakina Wenje wameshidwa mpe muda kwanza wafute machozi.
 
Kumpongeza ni sehemu ya maridhiano
 

Siku hizi anapongeza Magoli ya Simba na Ysnga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…