Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kwanini Lissuasimpongeze Samia kwa kuburuza machawa?Heshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kheri aendelee kukaa kimya.. Kuna maumivu mengi zaidi kwenye kupongeza kuliko kukaa kimyaHeshima yako mh Rais, pole na majukumu ya kitaifa,
Samahani kwa kukuambia haya.
Siasa sio vita, rais Samia ingekusaidia sana ukimpongeza lisu kwa kushinda.
Kama uliweza kuenda kumwona ubeligiji wakati amepigwa risasi ingawa jpm alipiga top,wewe ulienda ulionesha ubinadamu mkubwa sana.
Unashindwaje kumpongeza Lisu, ukifanya hivyo itakusaidia sana kujijenga kisiasa , katika uchaguzi wa mwaka huu October 2025.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwanza kateuliwa kimagendo, subiri Lissu ataeleza tuHivi Lisu alishampongeza Mama kwa chama chake kumteua mgombea?
Ateho mnhu henahoAKUDUJA?? NALAHO NALOLE.
HIII CHENE INSEE YE!!
Ccm ni polisiHiki ni CHAMA mkuu
tamau akagikulu kanaka kaka mashaga abhiyeAteho mnhu henaho