Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Na yeye aache chokochoko
 
Makamanda wanataka wampangie ratiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa kiongozi huwezi kumridhisha kila mtu au kila kundi
ukitaka kumridhisha kila mtu au kila kundi unaweza kukumbwa na mambo makubwa mawili:
1. utachelewa sana kufikia malengo.
2. Unaweza kupoteza mwelekeo.

Kinacho takiwa ni kufanya maendeleo yanayo wagusa wananchi wengi.
Madai ya katiba mpya ni madai ya kikundi kidogo cha wanasiasa wachache.
wananchi walio wengi mijini na vijijini wanataka kasi ya maendeleo iongeze, tunamuomba Rais wetu asicheleweshwe na kelele za watu wachache, wananchi wengi ambao hawapigi kelele wanamatumaini makubwa na yeye.
Kanyaga twende mbele kwa mbele.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu milioni 60 ndio wanadai katiba?

Mbona naona ni kakikundi kadogo tu huko twiter
 
Mama anaupiga mwingi sana [emoji847]
 
Reactions: nao
Mbowe kachaguliwa kwa kura zipi hapo ufipa? Mwenyekiti wa milele ndio apewe nchini si atakomalia madarakani kama mzee M7
Mbowe ndio alikuwa Raisi wa nchi kwa kuchaguliwa kwa kura ??? Umeshiba mbegeau Mbio Za mwenge zimekuchosha leo?
 
Swala la katiba lina umuhimu wake... Na sisi watz siku tukiacha unafiki ndo inchi itasonga mbele..... Ni juzi tu mlikuwa mkilia lia magu hafati sheria leo hamtaki tena katiba?? Binafsi naitaka katiba na sio kwasababu za chadema"" ila i wish katiba mpya iwepo na ifute mamlaka ya raisi kutowajibishwa pamoja na viongozi wa wakuu wa nchi!!!! Yani hili ndo linanikera kwamba raisi haguswi, spika wa bunge haguswi, jaji mkuu wa serikali haguswi, DPP haguswi... Hii katiba haifai yani inawaruhusu wao kufanya watakavyo kwasababu hawaguswi!!! Kwa mfano hii kauli ya mama haifai ukiwa mkuu wa nchi lazima uwe na solution yakumaliza tatizo na wapinzani wako sio kutisha raia kwamba wataumia.... Kwa kauli hii raisi kwenye nchi za wenzetu unashitakiwa ni kauli yakichochezi hupaswi kuongea kwenye hadhara ya watu!!! Mamlaka ya raisi lazima yawe na mipaka na katiba ile kwasababu inchi kama ichi hatuna vision kila raisi anakuja na lake' atavyojisikia yeye ndo atafanya sio kwa mujibu wa sheria yani afate sheria!!! Tuone kuna umuhimu wa katiba lengo sio chadema kutawala au kutaka madaraka... Ije katiba mpya hata kama CCM itaendelea kuongoza ila katiba iwepo na waifate ili wasipofata sheria katiba iyo iyo iwawajibishe... Lakini hii iliyopo naona kama kila kitu ni ndio na imewabeba viongozi wakuu na ndo sababu wanaropoka tu!!! Kwakauli ya jana ya mama ina tofauti gani na mdude akiropoka kwenye majukwaa ya Siasa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja zipi amesema anajenga uchumi kwanza take it! Mambo ya katiba atayashughulikia kwa wakati maalumu. Hilo jibu hamlitaki sasa mnachotafuta nini kama si chokochoko? Mwendazake alisema kuna watu wanawashwa washwa!
Kumbe akiwashwa yeye, kaipata dawa katokomea kuzimu
 
Watu washaona Rais ni jinsia ya Kike basi ndio wanataka kujionesha kuwa wao ni vidume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…