Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Tutafuatilia mapema kabisa, tangu muunda wazo tu la kuvuruga hii amani, tutakula naye sahani moja, mbona ni jambo dooogo kabisa!! hatutaki ujinga sisi

Demokrasia ni starehe ya Ulaya na American huko
Hakika Safi saana mkuu mbona hata wao hawana kwann waiubir pengine
 
Tutafuatilia mapema kabisa, tangu muunda wazo tu la kuvuruga hii amani, tutakula naye sahani moja, mbona ni jambo dooogo kabisa!! hatutaki ujinga sisi

Demokrasia ni starehe ya Ulaya na American huko
Jana kapiga magoti huko...Kiwembe kinakuja

At Mabeberu....
 
Wimbi la KATIBA Halizuiliki

Kuzulumatism wanachama NSSF ni matokeo ya katiba tuliyonayo

Kwa hisani ya Mutu ya MAREKANI

eti Mabeberu ....
Mbona nyie madhulumat pia kwa nafas mbalimbali za teuz
 
Harakati za chadema, napingana nazo sehemu moja tu, kunakipindi shetani huwapanda kutaka kufanya chokochoko kwenye starehe yetu, yaani (Amani yetu) tutadili nao vizuri
Dah mama ana miez mitatu tu Hali imebadilka hlf wanataka wavuruge Aman Hawa bhana hawaelewek kbs
 
Mie pia sina uvumilivu kwa mtu mpuuzi ambaye anajitia hamnazo kwa makusudi kabisa akihisi kuwa yuko sawa kudhihaki wenzie sababu ana uhuru wa kufungua bakuli lake tu!
Hii nchi Ni yetu soote na soote tinafurahika na amani kuliko hata katiba maana Kama rais hatuwez kuwa wote Marais au nafas mbalimbali za kiungozi lkn ndo chadema wanazitaka mpaka kuleta wahuni kina mdude watukane na matus ndo yalimgharimu hlf analeta kujua hapa
 
Eeh mkuu kikinuka hata zile akili za ushabiki mandazi wa Mbowe na Lissu zitakuwa hakuna😅😅😅 itakuwa ni uwiii kila upande! Likisikika Tutu linarindima watu ni kujibanza hata uvunguni 😅😅😅 kwa jirani yako bila hodi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…