Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Siasa za Mdude zinashangaza sana Sana....
Chadema ndiyo makamanda wO hao yaani wanachukuwwa wavuta bangi mtaani wanajiita wanachadema na mwwnyekiti anaridhia kabisa kwakuwa siyo chama ni genge la wahuni mbowe katengeneza magaidi wengi sana tangu awe mqwnyekiti
 
Chadema ndiyo makamanda wO hao yaani wanachukuwwa wavuta bangi mtaani wanajiita wanachadema na mwwnyekiti anaridhia kabisa kwakuwa siyo chama ni genge la wahuni mbowe katengeneza magaidi wengi sana tangu awe mqwnyekiti
Na uhuni wenyewe hauwasaidii hao wahuni wala chama chao....
 
Ukitia akili kichwani utaelewa tu wewe mchumia tumbo.
Argumentum ad hominem....i thought you would come up with sensible remarks unfortunately you bring up preposterous 🤣🤣
 
Mei Mosi aliahidi ataongeza mshahara mwakani bila kufuata makelele ya wafanyakazi.
 
Mei Mosi aliahidi ataongeza mshahara mwakani bila kufuata makelele ya wafanyakazi.
Ile siku alinikosha kwelikweli....alitambaa kiukweli kuwa CORONA imetuachia uchumi dhaifu na atajitahidi kuupandisha ndipo aongeze mshahara....ila MADARAJA akayapandisha.....💪
 
Baada ya kuombwa na ASKOFU SHOO leo akawajibu KCMC kuwa uchumi ukiruhusu ATAAJIRI WATUMISHI WA AFYA NA KUWAPELEKEA.....

Rais SSH yuko DIRECT sana na HAZUNGUKI "kipang'ang'a"😍
 


Uzoefu nao anao
 
Lisu katelekezwa na Amsterdam baada ya kugundulika kuwa hana pesa. Kumbuka mkono mtupu haulambwi!
🤣🤣Yule MCANADA ni beberu haswaaa....yuko KIUCHUMI ZAIDI ha ha ha

Lissu anajifanya anawajua wazungu kupindukia kumbe ni tofauti....🤣
 
Mpuuzi wewe mchumia tumbo udhalimu na dhuluma za nchi hii Wapumbavu kama wewe mnazikumbatia. JITATHMINI ni binadamu wa aina gani wewe kama unastahili kuitwa binadamu.

Argumentum ad hominem....i thought you would come up with sensible remarks unfortunately you bring up preposterous 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…