Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Yaani tuko madarakani tuanze kupigana na wehu, sie ni kufuata tu Sheria yaani mponde mawe misafara ya viongozi wetu na sie tuokote mawe? Polisi kazi Yao nini? Je unaushahidi wa kuibiwa Kura so majimbo na kata mlizoshinda nyie je mliiba Kura? Tatizo lenu nyie chadema Bana, yaani mkishinda ni Sawa Ila CCM tukishinda ni tumeiba nyie chadema sijawahi kuwaelewa Kwa kweli.

Unadhani huo uchaguzi unafanyikia gizani hatuoni kinachofanyika kwenye uchaguzi ama? Ushahidi upeleke kwenye hizi mahakamà zinazoagizwa aina ya hukumu za kutoa? Uza ubongo huo bro maana unakaa nao kwa hasara.
 
Unadhani huo uchaguzi unafanyikia gizani hatuoni kinachofanyika kwenye uchaguzi ama? Ushahidi upeleke kwenye hizi mahakamà zinazoagizwa aina ya hukumu za kutoa? Uza ubongo huo bro maana unakaa nao kwa hasara.
Mbona kesi nyingi tu za uchaguzi chadema mliwahi kushinda ktk mahakama hizihizi, lissu mwenyewe aliwahi shinda na akabubujika machozi ya furaha ndani ya mahakama.
 
Hapa ndio unaona umetupoteza maboya, kwamba hatujui yapi mauji ya kisiasa na yapi ya mapenzi! Inaonekana ww utakuwa ni mzee, wengi ndio huwa wanaujinga huu.
Mie bado cjazeeka ni mbaba wa umri wa Kati 30+ kubali kataa kuna mauji mengi ya kimaslahi binafsi na mapenzi iliingizwa siasa.
 
Lissu alipigwa risasi kwenye viwanja vya bunge vyenye walinzi na CCTV Camera, CCTV zikaondolewa na hakuna aliyekamatwa
Kupigwa risasi kule nako ni fumanizi?
Suala la lissu usiihushe CCM wala serikali make lissu mwenyewe amekuwa mzito kutoa ushirikiano ktk suala la uchunguzi.
 
Mbona kesi nyingi tu za uchaguzi chadema mliwahi kushinda ktk mahakama hizihizi, lissu mwenyewe aliwahi shinda na akabubujika machozi ya furaha ndani ya mahakama.

Tulikuwa tunashangaa tukishinda na sio kufurahi. Hatuhitaji mahakama zinazotoa haki kwa kuagizwa nje ya ushahidi husika. Inshort Tanzania hakuna mahakama za kutoa haki kwa wapinzani, ndio maana unaona hadi sasa kuna wapinzani walikuwa ndani wakati wa Magufuli, na wanapoachiwa mahakama zinakiri kabisa ushahidi haukuwa sahihi, ama zilikuwa kesi za kubambikiwa na viongozi.
 
Mie bado cjazeeka ni mbaba wa umri wa Kati 30+ kubali kataa kuna mauji mengi ya kimaslahi binafsi na mapenzi iliingizwa siasa.

Narudia tena, unadhani hatujui mauaji ya kisiasa na ya mapenzi? Kama una miaka 30+, basi ujue ww na kijana kiumri lakini mwenye mawazo ya kizee.
 
Suala la lissu usiihushe CCM wala serikali make lissu mwenyewe amekuwa mzito kutoa ushirikiano ktk suala la uchunguzi.

Angekufa wasingefahamu waliomuua? Nani aliondoa askari waliokuwa getini siku ya shambulio lake? Ukijua hilo ndio utajua ww una mawazo ya kizee.
 
Back
Top Bottom