Rais Samia na Ruto wanakimbizana kwa kufanya safari Nje ya Nchi

Rais Samia na Ruto wanakimbizana kwa kufanya safari Nje ya Nchi

Mkuu tuache mzaha hata ungekuwa wewe umepata nafasi kama ile ungekula bata nchi tofauti, maisha mafupi tatizo ni wivu tu unakusumbua kuona mama anafaidi ya dunia, hakun mtanzania utampa nafasi serkalin asipige eti mzalendo haipo hyo ikiwa hata fundi ujenzi kweny nyumba yako ukimuacha dakika mbili tu kainua kiroba cha cement
Mtawaliwe tena
 
Magufuli alikuwa mgonjwa maana alikuwa amewekewa pacemaker kifuani. Pili alikuwa na aerophobia (woga wa kusafiri kwa ndege).

Tatu alikuwa anaongea BROKEN English huku akitema mimate (Ze people uzid to die in ze rake)

Unaanzanje kwenda Ulaya na madhaifu hayo? Instead inasingizia kuwa wewe ni mzalendo unabaki hapa hapa
Nadhani kuna shimo mwilini mwako halipo sawa
 
Magufuli alikuwa mgonjwa maana alikuwa amewekewa pacemaker kifuani. Pili alikuwa na aerophobia (woga wa kusafiri kwa ndege).

Tatu alikuwa anaongea BROKEN English huku akitema mimate (Ze people uzid to die in ze rake)

Unaanzanje kwenda Ulaya na madhaifu hayo? Instead inasingizia kuwa wewe ni mzalendo unabaki hapa hapa
Wewe umekamilika isipokuwa Cheti tu Ndio fake 😂
 
Mtembea bure si sawa na mkaa bure
"
Kikwete
Nini tulikikosa alipoacha kusafiri nje na ni nini tunachokipata anaposafiri nje !!
Hii ni kwa wote including aliyesema mtembea bure sio sawa na mkaa bure !!
Huo msemo ulikusudiwa kwa mtu ambaye hana kazi ya kufanya !!
 
Yule nae alidhani tupo enzi za ujima
Rais gani hafanyi safari
Mwoga kama kunguru
Alitumia ujinga wa Watanzania kudhani eti Rais akisafiri ni ufisadi
Magufuli alikuwa mshamba pia. Ilikuwa ni makosa makubwa walifanya CCM kutuletea mshamba wa Kolomije kuwa Rais
 
Haa
Watu Wema Hawafi
Ni kweli yule kenge alikuwa hatufai. Nchi ingeharibika misingi yake ya upendo na amani.

Na Magufuli asingekufa angebadili Katiba asitoke madarakani. Mungu akamuwahi
 
Back
Top Bottom