Rais Samia na Ruto wanakimbizana kwa kufanya safari Nje ya Nchi

Mama Bure kabisa, wanampa masafari waibe vizuri. Yeye hajuwi tu...
 
Ni kweli yule kenge alikuwa hatufai. Nchi ingeharibika misingi yake ya upendo na amani.

Na Magufuli asingekufa angebadili Katiba asitoke madarakani. Mungu akamuwahi
Vyeti feki unayefikiri kwa makalio
 
Acha tumbeze lakini kwa huyu cha moto tunakiona.
 
Ni kweli yule kenge alikuwa hatufai. Nchi ingeharibika misingi yake ya upendo na amani.

Na Magufuli asingekufa angebadili Katiba asitoke madarakani. Mungu akamuwahi
Haa Haa Ila Duniani Kuna Mambo
Yule Baba Mwendo Ameumaliza Lakini Tutamkumbuka Mno






Wahuni Wamemnanga Sana Toka CCM Yaani Kama Hawajawahi Kufanya Naye Kazi


Watu Wema Hawafi
Mungu Kaamua Ugomvi


Mara Chapa Ng'ombe Washamba Hawajui Sijui Kuongoza
 
Wewe umekamilika isipokuwa Cheti tu Ndio fake πŸ˜‚
Cheti FEKI hata Magufuli alikuwa na PhD FEKI na bado akawa Rais. Hiyo siyo hoja ya kufanya nisiseme maovu yake.

Njoo na hoja nyingine
 
Vyeti feki unayefikiri kwa makalio
Wewe Msukuma una fact gani? Nyie mltaka kuharibu amani na utulivu wa nchi sababu ya ushamba wa Magufuli. Jitu lilikuwa linaharibu nchi mnalishangilia tu. Mungu aliamua kutusaidia
 
Wewe nchi maskini
Karibia robo ya Watanganyika wote ni waajiriwa wa serikali
Wanalipwa mishahara kila mwezi unadhani hizo hela zinatoka wapi
Unataka umeme
Unatembea rami
Unataka elimu bure
Unadhani hela hizo zinapatikana kwa wazungu kuja kuona nyumbu na simba wa Mikumi ambao wapo hata google
Jiongeze sisi Taifa masikini
 
Washamba sana. Yaani mto katoka Kolomije anasema eti hapa Dar kama mtu atadika June 2016 ni mwanaume kweli!!

Yaani yule mwehu alijiona mungu kama akina Kabudi walivyokuwa wanamuita Mh mungu
 
Wewe Msukuma una fact gani? Nyie mltaka kuharibu amani na utulivu wa nchi sababu ya ushamba wa Magufuli. Jitu lilikuwa linaharibu nchi mnalishangilia tu. Mungu aliamua kutusaidia
Wewe kenge unaliwa
 
unadhani hizo gdp tunazoambiwa zinakuwa kwa kasi ni sababu ya hizo ziara acheni viongozi watoke hawa hizi nchi bado ni changa sna bila kutoka kwenda kuangaika huko na huko hatutaambulia kitu
Miaka 60 bado mtoto (nchi changa)
 
Washamba sana. Yaani mto katoka Kolomije anasema eti hapa Dar kama mtu atadika June 2016 ni mwanaume kweli!!

Yaani yule mwehu alijiona mungu kama akina Kabudi walivyokuwa wanamuita Mh mungu
πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜πŸ˜„πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£Kuna Kauli Mbaya Kuzitoa Hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…