Tatizo Si idadi ya mashoga, JAMII na familia vinapambana kutatua tatizo Hilo.Umekariri kila mtu atalima ili aishi, huyo Tim cook analima?.
Halafu for the sake of the best both worlds penda sana kupambana vita utakayoshinda , mashoga wapo wengi sana ni vile tu hatutaki ku admit tatizo
Wewe mwenyewe mpaka poda unayeshindia chips mayai unaweza kulima hata nusu tuta??Usipopambana na USHOGA, utalima vp?
Shoga anaweza Lima hata tuta moja?
Tatizo letu ni kutaka kuamini matatizo yanayotukabili yatamalizwa na mtu mwingine , sishangai maana ujamaa ndo umetuleta hapaTatizo Si idadi ya mashoga, JAMII na familia vinapambana kutatua tatizo Hilo.
Tusichokitaka ni kutambua na Kuhalalisha NDOA za JINSIA moja kisheria na kiserikali.
Huo ndo USHETANI tunaoulaani, na kiongozi yeyote akisuport atapingwa na Kila mtanzania mwenye HOFU ya Mungu.
Shoga anaweza Lima hata tuta moja?
Shoga hawezi kaziWatalima kwa matrekta.
Miafrika inatumia nguvu zote kupinga ushoga ila mambo mengine ya msingi haifanyi.
Nguvu inayotumika kupinga ushoga, swala ambalo ni almost negligible, ni sawa na kuua nzi kwa nyundo. Kuna mambo mengi yanagusa jamii nzima kwa ujumla watu mmetulia tu ila ushoga kila mtu anatokwa povu. Nonsense.
Ile chanjo nilisema sichanji ilikuwa na ajenda za kishetan nyuma yake.Kila mwanaume aliechanjwa chanjo ya corona baada ya miezi kumi na mbili atakua anawashwawashwa hivo atahitaji kukunwa, kwa hiyo hapo ndio watalii watamiminika maradufu, sababu tayari wana partners wao,
Wewe umepambana kiasi Gani kwenye familia na ukoo wako?Tatizo letu ni kutaka kuamini matatizo yanayotukabili yatamalizwa na mtu mwingine , sishangai maana ujamaa ndo umetuleta hapa
Ushoga katika hatua ya awali kabisa unatakiwa upingwe kwenye ngazi ya familia , hatupambani huko bali tu ataka viomgozi wapambane kwa niaba yetu.
Zanzibar mashoga kibao wstunwapo kimya .
With due respect MTUMISHI,Tatizo Si idadi ya mashoga, JAMII na familia vinapambana kutatua tatizo Hilo.
Tusichokitaka ni kutambua na Kuhalalisha NDOA za JINSIA moja kisheria na kiserikali.
Huo ndo USHETANI tunaoulaani, na kiongozi yeyote akisuport atapingwa na Kila mtanzania mwenye HOFU ya Mungu.
Mashoga wana athari gani kwenye maisha yako?Ushoga ni worse zaidi kuliko hata hayo mengine thus unapigwa vita
Mkurugenzi wa Kampuni Apple ni shoga.Shoga hawezi kazi
Subiria uzae mtoto shoga KISHA takupa jibu.Mashoga wana athari gani kwenye maisha yako?
Napambana nitakavyo weza na likishindwa nimeshindwa ,siwezi kuwa mjinga kutegemea mtu anaisaidie tatizo.ambalo linaanzia kwangu.Wewe umepambana kiasi Gani kwenye familia na ukoo wako?
Tunataka ktk level ya kiserikali wapinge na kutunga SHERIA Kali juu ya wahusika wa vitendo hivyo.
Undani wa tatizo ndo Serikali hiyo hiyo kushindwa kusimamia maadili, Tamaduni na HOFU ya Mungu Kwa raia wake.With due respect MTUMISHI,
Mimi nafikiri wengi wameshindwa kupata suluhu ya ushoga kwa sababu ya MIHEMKO au kutokuwa na ufahamu wa ushoga.
Huwezi kupambana na kitu usichokielewa huku umejaa MIHEMKOO.
Lazima watu watambue undani wa "tatizo" kabla ya kuwarukia na kuwaparua mashoga.
Labda utakuwa haujazisoma vizuri sheria ya nchi.Undani wa tatizo ndo Serikali hiyo hiyo kushindwa kusimamia maadili, Tamaduni na HOFU ya Mungu Kwa raia wake..