BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nasema tutumie akili kubwa sana asilimia 60% hadi 80% ya wale ulikua unasikia mabaharia wa kuzamia meli ili waende ng’ambo hua hawasemi tu lakini wengi walifirwa sana ilikua uchague uogeshwe upendeze ugongwe au wakutose baharini, basi mabaharia wengi walifirwa kwa njia hiyo waone tu wanahadithia mara nilipita port fulani na port fulani wengi wao walichezea sana
SAHIHI KABISAAAAAHaujiulizi kwa nini wao chakula organic kina bei kubwa kwao kuliko kawaida na wanakithamini sana chakula hicho organic, lakini unaletewa mbolea ya msaada, mbegu, na wanakushauri ufungue viwanda vingi vya mbolea, mwisho kabisa mara nguvu za kiume, linakua tatizo la kitaifa uwezo wa kuzalisha unapungua hapo tunakwenda taratibu kumbe ilitakiwa sera za kilimo tuziangalie ziendane na sisi wenyewe kwa kutumia akili kwamba wakulima wetu tunawafundisha kuzalisha vyakula organic kwa wingi sana ili kujenga afya ya watu wetu, lakini uvivu wa kufikiri kwa mtu mweusi GMO inaletwa linapokea kama jehu hivi
Sioni kosa la serikali kwa sababu tayari sheria ilishatungwA kuzuia UFIRAJI.
Shida ni kwamba WAFIRANAJI mko nao huku mitaanii wanafirana magetoni kimya kimya.
Ulitaka serikali iende magetonii kupiga CHABO MADIRISHANI kuangalia nani anamfira nani!?
Ni HAITEKELEZEKI / UNENFORCEABLE LAW.
Usikwepeshe mada,Sioni kosa la serikali kwa sababu tayari sheria ilishatungwA kuzuia UFIRAJI.
Shida ni kwamba WAFIRANAJI mko nao huku mitaanii wanafirana magetoni kimya kimya.
Ulitaka serikali iende magetonii kupiga CHABO MADIRISHANI kuangalia nani anamfira nani!?
Ni HAITEKELEZEKI / UNENFORCEABLE LAW.
Tunachokataa ni Serikali Kuhalalisha NGOs za kutetea na kutambua watu hao na NDOA za JINSIA moja.
Hayo mengine fanya wewe sisi ushoga NO. Soon tutaanza kuwasaka na kuwaadhibu vikali mashoga.Miafrika inatumia nguvu zote kupinga ushoga ila mambo mengine ya msingi haifanyi.
Nguvu inayotumika kupinga ushoga, swala ambalo ni almost negligible, ni sawa na kuua nzi kwa nyundo. Kuna mambo mengi yanagusa jamii nzima kwa ujumla watu mmetulia tu ila ushoga kila mtu anatokwa povu. Nonsense.
Na CCM ni rafiki wa CHADEMA. Yaan hii chain taabu kwelikweli.ushoga ni sera ya ccm ndio maana democrats wanaounga mkono ushoga ni rafiki wa ccm.
Maoni ya shoga hayaheshimiwi. Shoga hapaswi kuthaminiwa kwa namana yeyote ile.Kabla ya kukritisaizi koment yangu ya mwanzo,ulitakiwa kuheshimu maoni ya kila mtu
Amini kwambaSaudi Arabia au Iran wananyongwa na kukatwa kichwa na bado wapo sembuse TZ ndugu yangu?
Yaani nikimwangaliaga usoni Rais wetu jinsi alivyo uwa napata hofu,nilimkataa tangu anatangaza kifo cha JPM kwamba huyu ataleta shida kwa taifa hili na sasa yanatimia.Watu wamedungwa chanjo na kiongozi wetu mwenyewe kutwa kutembea na barakoa ili awafurahishe hao mabeberu ndio litakua jambo kama hilo ambalo watu wanafanya vyumbani mwao??
Tatizo la Rais wetu anafanyia kazi ushauri mbaya.Yaani nikimwangaliaga usoni Rais wetu jinsi alivyo uwa napata hofu,nilimkataa tangu anatangaza kifo cha JPM kwamba huyu ataleta shida kwa taifa hili na sasa yanatimia.
Mashoga ni watu ila ushoga sio utu, sio unyama (hata wanyama hawafanyi kitendo hicho) na wala ushoga siyo haki.Eti mashoga nao ni binadamu
Si wamesema yumo humu na anasoma tunachokiandika kila siku,kwa nini hasifanyie ushauri yale tunayomwelekeza kufanya.....au alikuwa anazuga tu ukute anachawa wake anamsomea comment tu yeye yupo na buyu lake la Asali!!!Tatizo la Rais wetu anafanyia kazi ushauri mbaya.
Kwakua hao anaowaamini kumshauri sio watu wazuri kwa Taifa letu.
We are at great risk.
Unawaza kipoyoyo.Kipindi hiki dunia inajigawa pande mbili (wamagharibi na Russia na washirika wake) ingependeza tusizi-entertain hizi ziara za muundo huu. Huenda zikaleta tafsiri nyingine kimataifa (Kwamba Tz ni mshirika wa upande fulani). Ingewezekana huyu mama Harris akapigwa danadana juu ya ziara yake mpaka hali itakapokuwa imetulia. Tz tulishajinasibisha kuwa hatufungamani na yoyote, Mmarekani asije akatuharibia image. (Nawaza tu kwa sauti)
Context ya hizo statements ni ulaya sio Africa Sasa kwanini ujumuishe ukristo as if waanglikana wa tukuyu Mbeya wameafiki?
Ni sawa na magaidi wa ISIS au msimamo wa Ayatollah wa Iran ndio useme ni msimamo wa sheikh wa Mkalama?
Si mlichagua kuchanjwa?
ndio muache kuvamia vamia agenda za watu
kwanini Vuguvugu la kampeni ya ushoga Dunia nzima limeanza baada ya Kampeni ya kuchanja ?
pengine mepandikizwa vimelea vya kunyotoa nyotoa!
chanjo yenyewe inaitwa Johnson Johnson ?
Nitajie MojaNa kuna makanisa mengine ya kipentekoste nayo yanayo mambo ya aina hiyo hoyo.
Sasa hapo kahalalisha ndoa za jinsia Moja? Alichosema wasibaguliwe kma tu ambavyo wauaji, wabakaji, wanaogeuza wake zao, walevi n.k hawabaguliwi licha ya maovu Yao.Homosexuality is not a crime"
Sio kweli hakuna "askofu mkuu".... Anglican sio unified church kwamba sauti ya mwisho ipo Canterbury huyo ni ceremonial leader tu.Juu ya yote Kanisa la Anglican duniani makao yake makuu yapo Cantebury Uingereza na Askofu mkuu wake (Archbishop) ndiye kiongozi mkuu wa Makanisa yote ya Anglican duniani,
Dunia ingekuwa hivyo basi wachungaji, mapadre na mashehe wasingekuwa na kazi ya kufanya.Ukitaka kufanikiwa jambo lako hakikisha linatamkwa vinywani mwa watu Kila wakati. Hatutashikiwa bunduki kuutangaza ushoga ila sisi wenyewe kwa wenyewe tutautangaza wenyewe km mtoa mada anavyoendelea kuutangaza