Tangu mpate uhuru mnepewa misaada na wazungu,kama misaada yao ndio inaleta ushoga mbona mjaikataa?Misaada ikiambatana na eti haki za mashoga, tuikatae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu mpate uhuru mnepewa misaada na wazungu,kama misaada yao ndio inaleta ushoga mbona mjaikataa?Misaada ikiambatana na eti haki za mashoga, tuikatae.
Tumia akili kidogo kuleta msimamo wako unaoeleweka.Tangu mpate uhuru mnepewa misaada na wazungu,kama misaada yao ndio inaleta ushoga mbona mjaikataa?
Wewe na Chama chako ndio hamna akili,juzi Mseveni na Ruto wametamka wanapinga ushoga,kama mnaubavu tuone tamko na nyinyiTumia akili kidogo kuleta msimamo wajo unaoeleweka.
Bado una akili ya kitoto, sheria za nchi ziko wazi na zinajieleza.Wewe na Chama chako ndio hamna akili,juzi Mseveni na Ruto wametamka wanapinga ushoga,kama mnaubavu tuone tamko na nyinyi
Serikali IPO kutokana na ridhaa ya wananchi.Bila NGO hapatakuwa na ushoga?
Sasa hapo kahalalisha ndoa za jinsia Moja? Alichosema wasibaguliwe kma tu ambavyo wauaji, wabakaji, wanaogeuza wake zao, walevi n.k hawabaguliwi licha ya maovu Yao.
Mtafanya nini? Mngekuwa kweli mnauchukia ushoga hapo sawa ila mnachofanya nyinyi ni kuwabagua tu basi hao mashoga.Serikali IPO kutokana na ridhaa ya wananchi.
Ikipitisha SHERIA kubariki na kutambua USHOGA na NDOA za JINSIA moja itakosa uhalali wa kuongoza wananchi.
Wambie wajaribu waone.
Sio kweli hakuna "askofu mkuu".... Anglican sio unified church kwamba sauti ya mwisho ipo Canterbury huyo ni ceremonial leader tu.
Narudia tena,Mtafanya nini? Mngekuwa kweli mnauchukia ushoga hapo sawa ila mnachofanya nyinyi ni kuwabagua tu basi hao mashoga.
Yani mashoga wawepo kwenye jamii na wengine ni watu maarufu kabisa kwenye hiyo jamii,wengine mnawakodisha kwenye masherehe yenu na wengine video zao zimevuja mnatumiana kabisa kwa furaha mnaita connection na kutaniana kwa kufananishana nao mashoga. Sasa jamii ya hivyo ndio et inapinga kuhalalishwa ushoga.Narudia tena,
Serikali ikihalalisha NGOs za mashoga na kupitisha SHERIA za Kuhalalisha NDOA za JINSIA moja,
Itakosa uhalali na KIBALI kuongoza wananchi.
ANGALIZO; Mamlaka yeyote Duniani iwe OVU au nzuri, hupata KIBALI Kutoka Kwa Mungu.
Kuruhusu USHOGA na NDOA za JINSIA moja kisheria ni kuvuka mipaka, US Kwa mfano, soon itaanguka kirahisi tu Kwa maandamano, sababu kuu ni kuvuka mstari.
Narudia tena,Yani mashoga wawepo kwenye jamii na wengine ni watu maarufu kabisa kwenye hiyo jamii,wengine mnawakodisha kwenye masherehe yenu na wengine video zao zimevuja mnatumiana kabisa kwa furaha mnaita connection na kutaniana kwa kufananishana nao mashoga. Sasa jamii ya hivyo ndio et inapinga kuhalalishwa ushoga.
Visa vya kwenye vitabu vya imani zetu vinaelezea jamii zilivyoadhibiwa kutokana na uwepo wa maasi kwenye hizo jamii, hata hili la ushoga inafahamika kisa chake nini Mungu alifanya kama adhabu pale uovu huo ulipo kithiri kwenye jamii. Sasa hapa nchini mashoga wapo na ushoga upo wa kutosha tu ila wewe unaona hilo Mungu analifurahia, ila kama nchi kukubali kuhalalisha ushoga ambao upo kwenye jamii na jamii yenye haina inachofanya unaona ndio kosa kwa Mungu!Narudia tena,
Serikali ijiweke mbali na mtego huo,
Ikatae pia mikopo yenye Masharti ya aina hiyo,
Huo USHETANI mnaofanya ktk sherehe zenu binafsi Si kawaida Kwa umma wa Watanzania.
Tanzania ni Nchi ya AGANO, umependwa sana na Mungu.
Amen
JAMII na viongozi mbalimbali tunapambana kuvikemea na kutokomeza vitendo hivyo,Visa vya kwenye vitabu vya imani zetu vinaelezea jamii zilivyoadhibiwa kutokana na uwepo wa maasi kwenye hizo jamii, hata hili la ushoga inafahamika kisa chake nini Mungu alifanya kama adhabu pale uovu huo ulipo kithiri kwenye jamii. Sasa hapa nchini mashoga wapo na ushoga upo wa kutosha tu ila wewe unaona hilo Mungu analifurahia, ila kama nchi kukubali kuhalalisha ushoga ambao upo kwenye jamii na jamii yenye haina inachofanya unaona ndio kosa kwa Mungu!
Ni mawazo ya ajabu sana, huo ushoga ukihalalisha haina maana utaletewa mashoga kutoka nje ya nchi, hapana, mashoga wapo humu humu na ushoga upo.
Unajua kuwa mwehu huwa anawaona wazima ni machizi! Ukipata muda pitia milembe ukachekiwe.Unawaza kipoyoyo.