Rais Samia ndiye Rais atakayeongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana. Ni suala la muda tu kila mtu atamuelewa dhamira yake kwa Watanzania

Rais Samia ndiye Rais atakayeongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana. Ni suala la muda tu kila mtu atamuelewa dhamira yake kwa Watanzania

Sasa Hv kiongozi yeyote mwenye akili kubwa atasoma tu alama za nyakati basi,yaani unawaongoza watu wa aina gani,maisha yao yakoje? Yanafuraha au yamejaa huzuni na mateso,je wanaona furaha kuwa ktk nchi yao,je wanawafurahia viongozi wao pasipo unafiki hapo hakuna cha kukusanya maprofesa wala madokta,SIKILIZA WATANZANIA WANASEMA NN na sio maprofesa na madokta utapoteza muda tu bure.Mathalan unamsikiliza profesa kama Mkandala utapata nn zaidi ya usahauri wa kijinga uliojaa unafiki na kujipendekeza.
Kwa hiyo Prof.Mkandala hawezi kushauri kitu unamaanisha?
 
Inawezekana hata hela za uchaguzi safari hii wakaomba DPWorld.
Sio inawezekana ,wameishachukua fedha nyingi kutoka kwa hao waarabu ndio maana wanachanganyikiwa wakishauriwa kuuvunja huo mkataba! Hawana jinsi ya kuzilipa hizo fedha ndio maana wamegeuka kuwa wehu wanazungumza hovyo hata Samia haeleweki!! Anaseme Katiba ni kitabu tu anasahau kuwa bila umuhimu wake asingekuwa leo analembua macho kwenye kiti chenye nembo ya Taifa!
 
Kwa hiyo Prof.Mkandala hawezi kushauri kitu unamaanisha?
Huyo Mkandala chochote atakachoshauri kitatoka mdomoni mwa Kikwete!! Huyo ni pandikizi wa Kikwete kuhakikisha kuwa interests zake zinalindwa!! Huyo ni chawa wa Vasco Dagaama.
 
Sio inawezekana ,wameishachukua fedha nyingi kutoka kwa hao waarabu ndio maana wanachanganyikiwa wakishauriwa kuuvunja huo mkataba! Hawana jinsi ya kuzilipa hizo fedha dio maana wamegeuka kuwa wehu wanazungumza hovyo hata Samia haeleweki!! Anaseme Katiba ni kitabu tu anasahau kuwa bila umuhimu wake asingekkuwa Leo analembua macho kwenye kiti chenye nembo ya Taifa!
Kwenye Kitabu cha Hayati Ben Mkapa alisema CCM walipora fedha za uchaguzi, huyu Maza nae kaenda kuzifukunyua za kwenye kanzu.
 
Kwenye Kitabu cha Hayati Ben Mkapa alisema CCM walipora fedha za uchaguzi, huyu Maza nae kaenda kuzifukunyua za kwenye kanzu.
Huyu Bibi amezifukunyua za kwenye kanzu na nyingine nyingi toka BOT ndio maana akawaweka watu wake BOT na Teasury!! Unadhani huyo mama katibu Mkuu hazina amewekwa kwa kazi gani? Is she the most qualified? No ; then what is the purpose of putting her there if not to facilitate looting!
 
Nawasalimu Kwa Jina la JMT.

Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.

Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.

Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la

1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..

Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...

Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..

Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Wagalatia ndio wana chuki na rais
 
Huyu Bibi amezifukunyua za kwenye kanzu na nyingine nyingi toka BOT ndio maana akawaweka watu wake BOT na Teasury!! Unadhani huyo mama katibu Mkuu hazina amewekwa kwa kazi gani? Is she the most qualified? No ; then what is the purpose of putting her there if not to facilitate looting!
Halafu anajifanya kukasirika kusonya na kuita wenzie "Mastupid" hawa CCM Nchi ilishawashinda zamani sasa hivi wanafosi tu.
 
Nawasalimu Kwa Jina la JMT.

Kama Thread inavyojieleza,Huyu Mhe.Rais Samia Mimi binafsi naona amebeba maono makubwa sana ya Nchi hii, malengo yake ni makubwa,kila nikimtazama natamani Watanzania wote muelewe Dhamira yake ilivyo Kubwa ya maendeleo na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Sababu Kubwa nazoziona ni hizi,Rais Samia alikuwa ndani ya utawala uliopita Tena Jikoni kabisa,na aliona madhaifu ya mwenzake na mengine aliweza Kujifunza akiwa Na mwenzake,Leo hii kapata fursa ya Kuwa Rais Yale yote ambayo yalikuwa madhaifu ya mtangalizi wake anayafanyia kazi.

Binafsi mpaka Sasa Mimi Samia Namkubali sana na ninampenda sana Mama yetu Huyu,na ninamuombea Kwa Mungu siku zote azidi kufanya kazi hii bila kuchoka,najua Watanzania huwa hawaridhiki hata ufanye zuri kisasi gani...Ila uzuri wake ni wachache tu wa Mitandaoni.

Mama Samia kama inasoma huu ujumbe,mama piga kazi tuletee maendeleo,naomba tu suala la

1. Umeme mama upige mwingi
2. Suala na Ajira ushaupiga mwingi na Bado unaupiga mwingi
3. Barabara mikataba kibao tunaona, ujenzi unaendelea Kwa Kasi Kubwa kama ilani inavyosema.
4. Suala la Afya umejenga vituo vingi vya afya na umenunua vifaa vya kisasa,siku hizi hadi kwenye zahanati za vijijini Watu wanafanya Vipimo vya Maabara Kwa ubora ule ule....
5. Twende michezo,mama umezidi kuupiga mwingi
6. Diplomasia ndio kabisaa Nchi yetu Sasa ni moto,
7. Mazingira ya Uwekezaji ndio kabisa mama umeweka mazingira Bora Sana,na kila siku wageni wanafurika Tanzania Kwa kuwa Serikali yako imefungua Nchi na kuweka mazingira Bora kabisa ya Uwekezaji..

Ombi langu kwako Mhe.Rais wetu...

Nakuomba sana Rais siku Moja waalike Wasomi kutoka Vyuo vyetu hasa Maprofessor na Madokta kadhaa kutoka Vyuo vyote Nchini angalua ukutane nao Ikulu waweze kukaa meza Moja na wewe kama Kuna mambo kadhaa wakushauri pia,naimani watakuongezea kitu..

Yote Kwa yote Nasema Kazi Iendelee.
Anaongoza kwenda wapi ?wakutuongoza wapo ila sie yeye iwe mvua au jua asema Bwana
 
Mbona watumishi wa umma wapi hoi
Una uhakika unachosema?
Ilhali Sasa ndio kipindi ambacho watumishi wengi wa Umma wanafurahia Utumishi wao kupitia serikali ya Awamu ya SITA
 
Back
Top Bottom