Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

nicholasmari

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
630
Reaction score
583
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
 
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Samia mwenyewe kilaza, sasa unategemea vipi amjue kilaza mwenzake?
 
Nchi ya utumbo na kichuri.
IMG_0336.jpeg
 
Birds of a feather flock together, walisikika mabepari wakinena.

Yeye na mteuzi wake, wamekutana pwagu na pwaguzi.

Mteuzi kapata stara ya lafudhi ya pwani inambemba kwenye matamshi, kinyume na hapo wote ni kama pipa na mfuniko.
 
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Hiyo hotuba iko wapi? Haya ndiyo mambo nisiyoyapenda.

Habari bila vielelezo ni kosa la jinai.
 
Kusoma kiingereza vizuri au kutoa hotuba nzuri sio kipimo kizuri cha intelligence au utendaji wa kazi wa mtu, kuna watu Wakiongea hata kuunga sentensi mbili hawawezi ila quality ya kazi yao au darasani ni first class
 
Back
Top Bottom