Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale aliowatumia Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?Unazijua nguvu za Waganga wa Malawi?
Unazijua nguvu za Waganga wa Malawi?
Kilaza anawezaje kumuona kilaza mwenzake kuwa ni mwerevu...Mengine ni kujiongeza tu.Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?
Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Kama Alikuwepo Rais wa hivyo sembuse Waziri? 🤣🤣Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?
Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Kama ni hivyo basi amuache hapo hapo Ili tuwaone wenye akili mtakachofanyaSamia mwenyewe kilaza, sasa unategemea vipi amjue kilaza mwenzake?
DuhSamia mwenyewe kilaza, sasa unategemea vipi amjue kilaza mwenzake?
wa Malawi huyo ?!
Alex Jomes? For real? Hiyo mtu umemfuatilia au umeokoteza tweet tu?Kama ni hivyo basi amuache hapo hapo Ili tuwaone wenye akili mtakachofanya
nDiO HiVyO NcHi HiIAu ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Niliwahi kuuliza Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops? Pia nikauliza Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.