mlima makadamia
Member
- Sep 10, 2024
- 91
- 166
Kuna 'kuumwa' ukawakilishwa na katibu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Kusoma kiingereza vizuri au kutoa hotuba nzuri sio kipimo kizuri cha intelligence au utendaji wa kazi wa mtu, kuna watu Wakiongea hata kuunga sentensi mbili hawawezi ila quality ya kazi yao au darasani ni first class
Unajua alikua mkuu wa shule ya sekondari pale Songea girls?Hizi lugha za watu ni kikwazo Kwa baadhi ya mawaziri wetu
Hili jiwe zito umetupa kuelekea upande gani?wanyama wanaofanana hutembea pamoja?
Head School sio Head Teacher?Unajua alikua mkuu wa shule ya sekondari pale Songea girls?
Angekua mwanaume I could say, "alikua head master" wa shule ya sekondari. Shule hiyo ipo to-dateHead School sio Head Teacher?
Mnyetishaji umenena vyema sana,bila ushahidi ni umbeaHiyo hotuba iko wapi? Haya ndiyo mambo nisiyoyapenda.
Habari bila vielelezo ni kosa la jinai.
Kwa hio alikua Head School?Angekua mwanaume I could say, "alikua head master" wa shule ya sekondari. Shule hiyo ipo to-date
Unajua alikua mkuu wa shule ya sekondari pale Songea girls?
Nasoma comments tu mengi yanaki peramihoMapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?
Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Kiingereza sio muhimu sana, acheni akili za kitumwa, Presidents wa nchi zilizoendelea kama France, Russia, Spain etc wakija US huwezi kuona wanaongea kiingerezaMkuu,
Usitetee UZEMBE MAARIFA mengi yapo kwa lugha ya kiingereza field zotee zipo kwa lugha ya kiingereza
Kuto kuijua lugha hakuna excuses kikubwa yeye ni kioo anasoma kiingereza anazidiwa na Binti yangu wa darasa la Tano.
😅😅😅Unazijua nguvu za Waganga wa Malawi?
Kwa chura kiziwiHili jiwe zito umetupa kuelekea upande gani?
Ndio lugha yetu tuache kuhusudu ukoloni mamboleoKiswahili kitukuzwe kabisa
Wakala wa mabeberu wa ubelgijiWale aliowatumia Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?
Kama hawaongei Kiingereza , Jenista yeye hiko Kiingereza uchwara alikuwa anamsomea nani!? Kwa nini asitumie lugha yetu ya Taifa ili sisi wananchi tuelewe neno kwa neno!?Kiingereza sio muhimu sana, acheni akili za kitumwa, Presidents wa nchi zilizoendelea kama France, Russia, Spain etc wakija US huwezi kuona wanaongea kiingereza