Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

Kusoma kiingereza vizuri au kutoa hotuba nzuri sio kipimo kizuri cha intelligence au utendaji wa kazi wa mtu, kuna watu Wakiongea hata kuunga sentensi mbili hawawezi ila quality ya kazi yao au darasani ni first class
Mkuu,
Usitetee UZEMBE MAARIFA mengi yapo kwa lugha ya kiingereza field zotee zipo kwa lugha ya kiingereza

Kuto kuijua lugha hakuna excuses kikubwa yeye ni kioo anasoma kiingereza anazidiwa na Binti yangu wa darasa la Tano.
 
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Nasoma comments tu mengi yanaki peramiho
 
Mkuu,
Usitetee UZEMBE MAARIFA mengi yapo kwa lugha ya kiingereza field zotee zipo kwa lugha ya kiingereza

Kuto kuijua lugha hakuna excuses kikubwa yeye ni kioo anasoma kiingereza anazidiwa na Binti yangu wa darasa la Tano.
Kiingereza sio muhimu sana, acheni akili za kitumwa, Presidents wa nchi zilizoendelea kama France, Russia, Spain etc wakija US huwezi kuona wanaongea kiingereza
 
Nampenda sana Jenister, namshauri issue za English aziweke pembeni kabisa, aende na kiswahili chetu hiki, hakuna ubaya!, love you 💗
 
Kiingereza sio muhimu sana, acheni akili za kitumwa, Presidents wa nchi zilizoendelea kama France, Russia, Spain etc wakija US huwezi kuona wanaongea kiingereza
Kama hawaongei Kiingereza , Jenista yeye hiko Kiingereza uchwara alikuwa anamsomea nani!? Kwa nini asitumie lugha yetu ya Taifa ili sisi wananchi tuelewe neno kwa neno!?
 
Back
Top Bottom