Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

Nimemuona kidogo akitoa hotuba😎,anyway sio lugha yetu inatosha🤔
 
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Huyo mama ni mchawi sana, hiyo lugha ni kipengele kwa waheshimiwa wwngi,tafuta video ya jana yule mkuu wa mkoa wa Mwanza akiwa pale Kigongo-Busisi akiongea kwenye simu na yule contractor mchina ni aibu kubwa.
 
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Nilimsikia zamani sana wakati wa uchaguzi wa wabunge wa Afrika ya Mashariki kwenye kikao kilichokuwa kinafanyika kwa kiingereza, nikajua dah! huyu ni mbunge wa bunge letu anajikanyanga kanyaga kiimgereza akidhani anakijua kama vile anataka wasikilzaji wamajua kumba anavuruga sana. Kabla sijakaa sawa akawa waziri na tangia hapo amekuwa anazunguka mawizara tu
 
Birds of a feather flock together, walisikika mabepari wakinena.

Yeye na mteuzi wake, wamekutana pwagu na pwaguzi.

Mteuzi kapata stara ya lafudhi ya pwani inambemba kwenye matamshi, kinyume na hapo wote ni kama pipa na mfuniko.
Kibatala yuko busy na lissu.
 
Kusoma kiingereza vizuri au kutoa hotuba nzuri sio kipimo kizuri cha intelligence au utendaji wa kazi wa mtu, kuna watu Wakiongea hata kuunga sentensi mbili hawawezi ila quality ya kazi yao au darasani ni first class
umerogwa ww jenista ana utendaji gani wa maana tangu umfahamu
 
Kusoma kiingereza vizuri au kutoa hotuba nzuri sio kipimo kizuri cha intelligence au utendaji wa kazi wa mtu, kuna watu Wakiongea hata kuunga sentensi mbili hawawezi ila quality ya kazi yao au darasani ni first class
Hakuna anayebisha hilo basi mkae back bench huko mzifanye kazi huku mbele waachieni wanaojua kuzungumza.
 
Mapenzi haya ya Samia kwa Jenista ni sawa na uwehu, huyu waziri wa Afya wa sasa Jenista Mahagama ni kilaza kiasi kwamba hata kusoma hotuba aliyoandikiwa hawezi kusoma. Km anampenda sana kwanini asimpatie kazi itakayomfanya asionekana mbele ya hadhara? Nia ya Samia ni kuiaibisha nchi yetu?

Miaka ya leo waziri hajui hata kusoma hotuba iliyoandikwa kiingereza? Au ni kwamba kusema wanyama wanaofanana hutembea pamoja? Hii ni aibu na fedheha kwa nchi.
Aibu hii itaendelea miaka na miaka endapo kiswahili kitaendelea kuwa lugha ya kufundishia kwanzia shule za msingi tofauti na ilivyokuwa zamani kabla ya azimio la Arusha.Hata kama hatupendi kingereza ni lugha ya dunia
 
Back
Top Bottom