Rais Samia ni lazima Jenista Mhagama awe waziri wa Afya?, Unataka aaibishe nchi mpaka lini?

Kilaza anawezaje kumuona kilaza mwenzake kuwa ni mwerevu...Mengine ni kujiongeza tu.
 
Kama Alikuwepo Rais wa hivyo sembuse Waziri? 🤣🤣

Samia amebadikisha sera ya Elimu ,kizazi kijacho hakitakuwa na Viongozi wa hivyo tena.
 
Alupoenda UK alihudhuria kwenye hafla ya watanzania wishing huko
Duh...watu huko walimuona kituko sana,yaani ndiyo waziri wa afya

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…