Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Samia anataka kujenga nchi huku anaogopa wapinzani, ndio maana mpaka leo bado hajaruhusu mikutano ya siasa, kumbe sababu anawaona wapinzani ni maadui zake.

Hii ni mentality ya kidikteta kabisa, utawatenga vipi wanaokupinga ikiwa nao ni watanzania, na uwepo na maoni yao vipo kisheria? anataka wanaomsifia tu ndio awaamini hata kama ni wajinga, kumbe ndio maana tunaogelea kwenye mgao wa umeme usiojulikana utakwisha lini.

Sasa wale kina Mbowe na Heche wanaohangaika kwenda kwenye vile vikao vyao ikulu naamini watakuwa wamepata jibu, ndio maana licha ya mazungumzo ya maridhiano karibia zaidi ya miezi sita, lakini bado work done is equal to zero.
 
Elimu tosha kwa wanaobwabwaja
 
Tutafsiliye maneno ya lugha ngeni uliyoandika maana wengine hatujui hizo lugha ni kiswahili tu na kikwetu.
 
She is still far better than Magufuli..
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....

Hakuna Ben Saanane kupotea
Wala Roma kutekwa wala Maxence Melo kushinda mahakamani...
Unakariri matatizo kama vile awamu hii hakuna tatizo, hapa nilipo hakuna umeme halafu unasema tushangilie tu na hili joto eti kwa sababu siku hizi hatutekwi!.

Hii thinking yako sijui ya sampuli gani, unadumaza upeo wa vijana wa hili taifa.
 
She is still far better than Magufuli..
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....

Hakuna Ben Saanane kupotea
Wala Roma kutekwa wala Maxence Melo kushinda mahakamani...

That is a false dichotomy.

If she is stupid, she is stupid. It does nit matter how better than Magufuli she is. I did not compare her with Magufuli.

Pia si kweli kwamba utamtukana ataenda kulala bila wasiwasi.

Ana wasiwasi sana akitukanwa.

Haelewi kwamba kutukanwa ni sehemu ya urais. Ukubwa gunia la chawa.

Kama hutaki kutukanwa, usigombee uongozi.

Na unavyozidi kupanda juu matusi ndivyo yanavyozidi.

Kwa sababu unavyozidi kupanda juu ndivyo unavyozidi kuhudumia watu wengi, na ukihudumia watu wengi, haiyumkiniki kuwa utakosa wa kukutukana.

Maneno ya bandiko la awali hapa yanaonesha Samia is very petty and has some sort if inferiority complex inayompa wasiwasi wa kijinga akitukanwa na watu walio so far under her they might as well be shadows.

Sasa hivi badala ya kujikita kwenye ma deal makubwa ya kinataifa ya climate change tupige mabilioni ya dila za Kimarekani, anaenda kujiinesha anavyoogooa internal criticism.

She is acting like a silly little girl.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…