She is still far better than Magufuli..
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....
Hakuna Ben Saanane kupotea
Wala Roma kutekwa wala
Maxence Melo kushinda mahakamani...
That is a false dichotomy.
If she is stupid, she is stupid. It does nit matter how better than Magufuli she is. I did not compare her with Magufuli.
Pia si kweli kwamba utamtukana ataenda kulala bila wasiwasi.
Ana wasiwasi sana akitukanwa.
Haelewi kwamba kutukanwa ni sehemu ya urais. Ukubwa gunia la chawa.
Kama hutaki kutukanwa, usigombee uongozi.
Na unavyozidi kupanda juu matusi ndivyo yanavyozidi.
Kwa sababu unavyozidi kupanda juu ndivyo unavyozidi kuhudumia watu wengi, na ukihudumia watu wengi, haiyumkiniki kuwa utakosa wa kukutukana.
Maneno ya bandiko la awali hapa yanaonesha Samia is very petty and has some sort if inferiority complex inayompa wasiwasi wa kijinga akitukanwa na watu walio so far under her they might as well be shadows.
Sasa hivi badala ya kujikita kwenye ma deal makubwa ya kinataifa ya climate change tupige mabilioni ya dila za Kimarekani, anaenda kujiinesha anavyoogooa internal criticism.
She is acting like a silly little girl.