Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

That's Plain Truth!
 
Umeandika mataputapu sana....sasa kazi ya vyama vya upinzani ni ipi na ipi?
 
Sisi ndio uelewa wetu mdogo Rais anaongelea vyama vya kitaalamu hajaongelea vyama vya siasa kama unataka siasa unaingia katika siasa sio kujificha kwenye vyama vya kitaaluma nakufanya harakati. Adui yangu nimshirikishe kwa lipi? aje aharibu apinge kama mpinzani sio kujifanya chama cha wanasheria kama kina Lissu walivyoingia mle kuleta siasa.
 
She is still far better than Magufuli..
At least utamtukana utaenda kulala bila wasiwasi....

Hakuna Ben Saanane kupotea
Wala Roma kutekwa wala Maxence Melo kushinda mahakamani...
Huyu mama hana ubora wowote kumzidi Magufuli.
Kwanza hajiamini na ndiyo maana kila mwenye mtazamo tofauti na utendaji wake anamuona adui.
Hii nchi haiwezi ikaenda popote kama wote tutakuwa na mawazo yanayofanana.
Awe mvumilivu,asilikilize hoja za wanaompinga na azifanyie kazi.
 
Kila akifungua mdomo namna hii anajianika ujinga wake.
 
Nimeipenda sana hii kauli. Ni muhimu tuwe wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…